Nisubiriii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisubiriii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Umemwitaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi huko sijaonekana babe?
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Wa kwangu mimi anataka sita tu,Ila bahati nzuri Sana kalenda zinamchanganya,nimejipanga kutia mimba kwa kuvizia tu,mwezi jana nilivizia sikufanikiwa nasubiri mwezi huu nataka saba
Bad dieting, hivi wachaga nani alisema mtori ndio chakula cha mzazi tu jamani halafu ikawa kama SI Unit ya walojifungua wote 😂😂😂Tatizo tukishabeba ujauzito tunakula tu bila mpangilio wowote na tukijifungua ni mitori na supu kwa kwenda mbele, lazima tunenepeane.
Weeeee , Mimi nimechambwa sijui kusutwa juzi sina hamu Dada.Hivi kumbe huwa anamwaga maneno[emoji134][emoji134]
Sijawahi kumfumania, huwa namuona mpole kama 4G LTE wangu kumbe tofauti[emoji134]
mbali na utani pia kuna ukweli kwenye hiki ulichokiandikaUkiona mke anataka azae zaidi watoto na wewe,jua ya kuwa mbegu zako ni bora zinatoa product zenye mvuto........natania tu lakini
Idadi ya watoto ni makubaliano ya wawili...pamoja na sababu nyingine eidha kiafya au kiuchumi.Aaah Mimi nilikuwa nauliza tuu jamani.
Wewe unaonaje kwani idadi ya watoto nani anatakiwa kupanga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa hata hupati stress, na ukihitaji zaidi unavuka boda.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi huko sijaonekana babe?
Vipi mbona mikono kichwani?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Umenikumbusha rafiki yangu wa kichaga maandalizi ya kujifungua ni mafuta ya kula lita 40 na vitu vingine[emoji134][emoji134]Tatizo tukishabeba ujauzito tunakula tu bila mpangilio wowote na tukijifungua ni mitori na supu kwa kwenda mbele, lazima tunenepeane.
That's you.!!!Idadi ya watoto ni makubaliano ya wawili...pamoja na sababu nyingine eidha kiafya au kiuchumi.
Mkuu hata mimi imenikuta now nina watoto wawili ingawa wapili bado anamiez 4, lakin mwenzangu hataki tuongeze mwingine mbeleni, nasubiri akinipa go ahead nikaongeze nje, mi bado nahitaji 1 au 2 zaidWanajf kuna jambo limenifanya niilete hii mada kwenu.
Kuna kaka alihitaji na alipendelea kuwa na watoto watatu, na walikubaliana na mkewe wawe na watoto watatu Mungu akiwajaalia.
Baada ya mkewe kujifungua mtoto wa pili akamwambia mumewe asingeweza kwenda leba tena(alijifungua kwa njia ya kawaida na hakukuwa na complications zozote).
Mume alihisi ni kwavile ametoka kujifungua ndio maana anasema hivyo, lakini baada ya miaka mi4 kupita bado msimamo wa mkewe ni uleule, amemwambia ikiwa ni lazima apate huyo mtoto wa tatu anamruhusu kwa roho safi tu akamtafute.
Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?
Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?
Huwa napata ukakasi nikiwaza mtu kama Mengi RIP Mengi amekuwaje na watoto ambao hata hawajazi Noah.Ewaaaah. Sasa kama pesa unazo basi ni kufyetua tuu?