Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

mwanamke ni mwanamke mpumbavu kama ulikuwa hujui habari ndo hiyo,mzee wako amekula hasara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii nayo hasara taslim, hope wazazi wana risiti maana sio kwa hasara hiyo.

Usipende kukurupuka.
 
Iko wapi kauli ya "Nendeni mkaijaze dunia"?
 
Mie nataka wa5 we unaniambia wawili, watatu nitajua mwenyewe wapi nitajazilizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…