Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

mwanamke ni mwanamke mpumbavu kama ulikuwa hujui habari ndo hiyo,mzee wako amekula hasara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii nayo hasara taslim, hope wazazi wana risiti maana sio kwa hasara hiyo.

Usipende kukurupuka.
 
Wote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani[emoji3][emoji3].SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...

Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23], heshima.
Iko wapi kauli ya "Nendeni mkaijaze dunia"?
 
Mie nataka wa5 we unaniambia wawili, watatu nitajua mwenyewe wapi nitajazilizia
 
Back
Top Bottom