Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Ni kweli kabisa.
 
 
Mwanaume ndie anaepanga idadi ya watoto lakini pia sio mbaya kushauriana mana wote ni kitu kimoja ila kuna jambo moja la kifedha kama kipato chenu kina ruhusu sio mbaya unaweza kuzaa tu watoto wengi mana watoto wanaitaji matunzo na vingine vingi
 
Ya wote wawili washauriane huku wakiangalia sana gharama za maisha na kipato chao. Ile dhana ya kila mtoto atakuja na riziki yake ni dhana ya jalalani kwani mtoto anapozaliwa haji na bulungutu lake.
Ilikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.

Kuna wanaume hawapo tayari kwa makubaliano, anachokitaka yeye ndio hicho hicho.
 
Mwanaume ndie anaepanga idadi ya watoto lakini pia sio mbaya kushauriana mana wote ni kitu kimoja ila kuna jambo moja la kifedha kama kipato chenu kina ruhusu sio mbaya unaweza kuzaa tu watoto wengi mana watoto wanaitaji matunzo na vingine vingi
Unahisi ni kwanini mwanaume ndio anapaswa kupanga idadi aitakayo yeye?
 
Ilikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.

Kuna wanaume hawapo tayari kwa makubaliano, anachokitaka yeye ndio hicho hicho.
Watoto wakiwa wazuri lazima uzidi kushawishika katika kuongeza uzao
 
Apa kama vile umeweka mfumo dume haya mambo ni watu wawili sio mwanaume tu kumbuka we unatoa mbegu tu[emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…