Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee sikuwahi kufeli katika kuchagua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ha ha ha ha tafuteni vifaa vikali muoe,msioe tu ili mradi ni ke....kuchagua kitu kizuri ni njia moja wapo ya kupata watoto wazuri pamoja nakushawishika zaidi katika kuongeza uzao.
Alafu vitu vizuri ata ukizeeka bado unakua kifaa ebu washauri naamini mkeo mzuriha ha ha ha tafuteni vifaa vikali muoe,msioe tu ili mradi ni ke....kuchagua kitu kizuri ni njia moja wapo ya kupata watoto wazuri pamoja nakushawishika zaidi katika kuongeza uzao.
Mi natupia tu naye anapokea tuKwahiyo we utafyatua tu as long as Mungu kapanga? Kwahiyo unapomuomba Mungu hauombi akupe idadi fulani?
ha ha ha ha ulifanya vizuri sana....sasa wengine wanatafuta wenye muonekano kama wanapuliza moto halafu wanategemea washawishike kuzaa watoto wengi,hiyo ni ngumu ni sawa na kwenda mbinguni bila kufa.Mzee sikuwahi kufeli katika kuchagua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapa mpaka Yemen, usifanye mchezo
Tunawapaga mtushkie tu, anatoka kwenye mwili wangu. Unanishkia for 9 months halafu unanipa mwenyewe!Apa kama vile umeweka mfumo dume haya mambo ni watu wawili sio mwanaume tu kumbuka we unatoa mbegu tu[emoji41][emoji41]
Wacha weee[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee sikuwahi kufeli katika kuchagua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa mpaka Yemen, usifanye mchezo
Ni kweli mkuu ndio maana ni wachache sana wanao wa-kiss wake zao adharaniAlafu vitu vizuri ata ukizeeka bado unakua kifaa ebu washauri naamini mkeo mzuri
We unaweza?Ni kweli mkuu ndio maana ni wachache sana wanao wa-kiss wake zao adharani
Hebu hukoooo 😡😡😡😡😡😡😡Wacha weee[emoji23][emoji23][emoji23]
Tena nafanya bila wasiwasi kabisa si ni kifaaWe unaweza?
Teh teh..Mbegu mbaya ndo zikoje mamie..??We utakua mhaya kujisifia nn...alafu ukute una mbegu mbayaa[emoji857]
Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?
Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?