Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ni ya wote wawili.
Unaangalia Mwili(afya na utayari) na umri kama bado unaruhusu , au kipato.

Kama mwanaume anahitaji idadi ya watoto ambao ni tofauti na matakwa yangu huo ni UKOLONI na hapa wanawake huwa tunajua venye tunafanyaga.
Hamna kubishana naye , ila atashangaa kila siku holaa mpaka ajihisi ameishiwa nguvu za kiume.

Kikubwa ni kusikilizana, maana hata wanaume wenyewe ukijibebesha mimba tuu kuna wakati wana mind "wewe kila siku unabeba mimba tuu".

Narudia tena kikubwa ni MAKUBALIANO mambo ya kulazimishana kisa wewe ni kichwa cha familia kuna siku atajihisi hana nguvu za kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
God have mercy!

Hivi ni wewe kweli????
 
Maamuzi ni ya wote wawili.
Unaangalia Mwili(afya na utayari) na umri kama bado unaruhusu , au kipato.

Kama mwanaume anahitaji idadi ya watoto ambao ni tofauti na matakwa yangu huo ni UKOLONI na hapa wanawake huwa tunajua venye tunafanyaga.
Hamna kubishana naye , ila atashangaa kila siku holaa mpaka ajihisi ameishiwa nguvu za kiume.

Kikubwa ni kusikilizana, maana hata wanaume wenyewe ukijibebesha mimba tuu kuna wakati wana mind "wewe kila siku unabeba mimba tuu".

Narudia tena kikubwa ni MAKUBALIANO mambo ya kulazimishana kisa wewe ni kichwa cha familia kuna siku atajihisi hana nguvu za kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi huu ujeuri nani anakufundisha mdogo wangu?
 
ha ha ha ha ulifanya vizuri sana....sasa wengine wanatafuta wenye muonekano kama wanapuliza moto halafu wanategemea washawishike kuzaa watoto wengi,hiyo ni ngumu ni sawa na kwenda mbinguni bila kufa.
Mungu anawaona, hivyo sie tusiokuwa na muonekano ndio hatutakiwi kuzaa?[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Mume atoe mapendekezo tu, anaebeba mimba ndio muamuzi. Maana yeye ndio anaepata mateso na sio mwanaume, kwa hio ikiwa mwanamke kagoma kukuongezea mtoto na wewe unataka mtoto, ongeza mke tu!
Then I will get my kids, right???
 
Wanaume wa hivyo hawaitakii mema familia yao hasa kama kipato chenyewe ni hohehahe.

Ilikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.

Kuna wanaume hawapo tayari kwa makubaliano, anachokitaka yeye ndio hicho hicho.
 
Tunawapaga mtushkie tu, anatoka kwenye mwili wangu. Unanishkia for 9 months halafu unanipa mwenyewe!

Ukiwa mbishi unanishkia mwanangu for 7 years then court inakwambia mpe mwenyewe mtoto wake.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

cc: Khantwe
Duuuuh!!
Mbona kuna muda huwa mnawakimbia?
 
Hili suala mi nahisi sio la mume na mke tu.
Mfano mume na mke wakikubaliana idadi ya watoto ni 0. Hapa wazazi si wanaweza kuingilia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wazazi wanaingiliaje jamani?
 
Wote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani[emoji3][emoji3].SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...

Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23], heshima.
Safi sana
 
mtapanga yotee na kukubaliana yote ila kwenye uzazi mwanamke ndio mwnye maamuzi kwa taarifa yenu akiamua kutoa au kuzaa ni yeye tena muda mwingne mke anatoa mimba bila mume kujua na unaambiwa imeharbka bahat mbaya..ila watoto raha sanaa jamn haswa wakizid wawili🙄🙄
Hopefull tayari unao madam
 
Back
Top Bottom