Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Mke wake anaye kaziHataki mjadala kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wake anaye kaziHataki mjadala kabisa.
Hahahahahahah!Hili suala mi nahisi sio la mume na mke tu.
Mfano mume na mke wakikubaliana idadi ya watoto ni 0. Hapa wazazi si wanaweza kuingilia?
[emoji23][emoji23][emoji23]kama za wasira na pindaTeh teh..Mbegu mbaya ndo zikoje mamie..??
God have mercy!Maamuzi ni ya wote wawili.
Unaangalia Mwili(afya na utayari) na umri kama bado unaruhusu , au kipato.
Kama mwanaume anahitaji idadi ya watoto ambao ni tofauti na matakwa yangu huo ni UKOLONI na hapa wanawake huwa tunajua venye tunafanyaga.
Hamna kubishana naye , ila atashangaa kila siku holaa mpaka ajihisi ameishiwa nguvu za kiume.
Kikubwa ni kusikilizana, maana hata wanaume wenyewe ukijibebesha mimba tuu kuna wakati wana mind "wewe kila siku unabeba mimba tuu".
Narudia tena kikubwa ni MAKUBALIANO mambo ya kulazimishana kisa wewe ni kichwa cha familia kuna siku atajihisi hana nguvu za kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapiiiiii[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]Hebu hukoooo [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maamuzi ni ya wote wawili.
Unaangalia Mwili(afya na utayari) na umri kama bado unaruhusu , au kipato.
Kama mwanaume anahitaji idadi ya watoto ambao ni tofauti na matakwa yangu huo ni UKOLONI na hapa wanawake huwa tunajua venye tunafanyaga.
Hamna kubishana naye , ila atashangaa kila siku holaa mpaka ajihisi ameishiwa nguvu za kiume.
Kikubwa ni kusikilizana, maana hata wanaume wenyewe ukijibebesha mimba tuu kuna wakati wana mind "wewe kila siku unabeba mimba tuu".
Narudia tena kikubwa ni MAKUBALIANO mambo ya kulazimishana kisa wewe ni kichwa cha familia kuna siku atajihisi hana nguvu za kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The other side of me!!!God have mercy!
Hivi ni wewe kweli????
Mungu anawaona, hivyo sie tusiokuwa na muonekano ndio hatutakiwi kuzaa?[emoji134][emoji134][emoji134]ha ha ha ha ulifanya vizuri sana....sasa wengine wanatafuta wenye muonekano kama wanapuliza moto halafu wanategemea washawishike kuzaa watoto wengi,hiyo ni ngumu ni sawa na kwenda mbinguni bila kufa.
Then I will get my kids, right???Mume atoe mapendekezo tu, anaebeba mimba ndio muamuzi. Maana yeye ndio anaepata mateso na sio mwanaume, kwa hio ikiwa mwanamke kagoma kukuongezea mtoto na wewe unataka mtoto, ongeza mke tu!
Ilikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.
Kuna wanaume hawapo tayari kwa makubaliano, anachokitaka yeye ndio hicho hicho.
Duuuuh!!Tunawapaga mtushkie tu, anatoka kwenye mwili wangu. Unanishkia for 9 months halafu unanipa mwenyewe!
Ukiwa mbishi unanishkia mwanangu for 7 years then court inakwambia mpe mwenyewe mtoto wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
cc: Khantwe
Dada hata uzae kila mwaka hapawazuii kuzaa nje.[emoji23][emoji23][emoji23]. Wengine wanataka wajaze dunia na hela ya kulea watoto hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi huu ujeuri nani anakufundisha mdogo wangu?
HahahaahhahahaWapiiiiii[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Hapa namba inasomeka yaaniThe other side of me!!!
Safi sanaWote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani[emoji3][emoji3].SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...
Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23], heshima.
Hopefull tayari unao madammtapanga yotee na kukubaliana yote ila kwenye uzazi mwanamke ndio mwnye maamuzi kwa taarifa yenu akiamua kutoa au kuzaa ni yeye tena muda mwingne mke anatoa mimba bila mume kujua na unaambiwa imeharbka bahat mbaya..ila watoto raha sanaa jamn haswa wakizid wawili🙄🙄
ha ha ha ha ndege wafananao huruka pamojaMungu anawaona, hivyo sie tusiokuwa na muonekano ndio hatutakiwi kuzaa?[emoji134][emoji134][emoji134]
Kwani wewe ndo unayebeba mimba na kwenda leba?Mwanaume ndiye kichwa Cha familia mnakwama wapi ndugu Kama mpaka Sasa hamjajua mwanaume ndio kila kitu