Hivi kwani mwanamke ana maamuzi juu ya nini katika familia?Ni mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!
You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.
I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......
Ni mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!
You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.
I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......
Hahahahahaahahahah!Nimeiona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe unadhani jibu langu la kibabe lime base wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
They are not real menWapo wengi tu, anajileta akisikia mtoto kakua.
Naomba ujibu kwanza "kwoti" ya msemaji mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo juu.Hahahahahaahahahah!
Kwa hiyo ndio ukaamua kunilipua live jamani???
Mwanamke anakuwa ni mshauri mkuu wa mwanamme na ni mtunzaji wa watoto! Mnajifanya watu wa dini halafu majukumu yenu ya kidini hamyataki.Hivi kwani mwanamke ana maamuzi juu ya nini katika familia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa nitakufuata unijibu.Ntakujibu lakini sio hapa
Mingi tu,kaka unataka mke achoke Hadi huwezi ongozana nae????hapana aiseee mke lazima atambulishwe kwa kujiamini na heshima zote.How old are you bro??
Kipato unakuta kipo vizuri tu, ila mke ndio hahitaji idadi kubwa ya watoto.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ooooh shamjua kiboko yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Mshauri mkuu si ndiyo pamoja na kushauriana idadi ya watoto tutakao zaa?Mwanamke anakuwa ni mshauri mkuu wa mwanamme na ni mtunzaji wa watoto! Mnajifanya watu wa dini halafu majukumu yenu ya kidini hamyataki.