Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Ni mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!

You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.

I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......
Hivi kwani mwanamke ana maamuzi juu ya nini katika familia?
 
Ni mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!

You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.

I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......

Hii hapa.

Vipi na Mimi niki make the money naruhusiwa Ku make the rule?

Kama suala ni pesa!
 
How old are you bro??
Mingi tu,kaka unataka mke achoke Hadi huwezi ongozana nae????hapana aiseee mke lazima atambulishwe kwa kujiamini na heshima zote.

Mambo ya kuwa na mke huwezi kujivunia nae ya nini hayo
 
Ni mwili wake maamuzi ndani ya ndoa ni ya wote wawili. Kama mnatofautina idadi ya watoto wawili tatizo si kubwa mnaweza kuamua kuwa na mmoja zaidi, lakini kama mke anasema watatu na mume anataka timu ya mpira basi hapo nyumba lazima iwake moto.

Kipato unakuta kipo vizuri tu, ila mke ndio hahitaji idadi kubwa ya watoto.
 
Back
Top Bottom