Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mambo yako mazuri tayari ndio maanaHahaha mimi nimeshakimbia humu. .nipo zangu Jukwaa la international
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yako mazuri tayari ndio maanaHahaha mimi nimeshakimbia humu. .nipo zangu Jukwaa la international
🙊🙊🙊🙊🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️[emoji23][emoji23][emoji23]
Shaurilo, mzungu wa4 atakuhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dooh mbona mnanifanyia hivi jamani?Kume kucha. ..Ngoja niagize popcorn
Mambo yako mazuri tayari ndio maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dooh mbona mnanifanyia hivi jamani?
Kwani wanaume si ndo mnasemaga hivyo kwamba wanawake tukishazaa tunakuwa tumezeeka wakati nyie mnakuwa bado vijana kwahiyo mnachepuka na vibinti ambao ni 'vijana wenzenu'Kuna watu Hana mtoto hata mmoja Ila Hana mvuto na ni kijana.
Acheni kujidanganya kuwa ukizaa watoto wachache ndio unakuwa na mvuto
na CCM je?Mwanaume ndiye kichwa Cha familia mnakwama wapi ndugu Kama mpaka Sasa hamjajua mwanaume ndio kila kitu
Masikini daahKuna dada jirani yetu amefariki asilimia 90 yule mumewe alichangia mwanamke katoka kujifungua anamshindisha na vipiro vya ugali afya ilikuwa mbaya akawa wakijani usoni kwa kukosa rishe alifariki yule dada kaacha watoto 3[emoji25].
Jamani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24]Kuna dada jirani yetu amefariki asilimia 90 yule mumewe alichangia mwanamke katoka kujifungua anamshindisha na vipiro vya ugali afya ilikuwa mbaya akawa wakijani usoni kwa kukosa rishe alifariki yule dada kaacha watoto 3[emoji25].
Nitambe kisa nini?Tamba tu
Duuuh!! Kama anampenda mno angemwambia.Idadi inaamua uchumi ndani ya ndoa afya zenu la mwisho sio muhimu sana kama uchumi wenu sio mshahara umri vingine bwebwe kuna jamaa amezaa nje ya ndoa kisa mkewe anatatizo la uti wa mgongo kwa muda kidg kutoka kana na sindano kipindi cha uzazi jamaa hela ipo sana tena mno na afya inaruhusu amempeleka mpk india bado imegoma sasa amepiga nje kwa siri kubwa sana coz anampenda mkewe mno