Mkuu mbona unadharirisha wazazi wako. Ndio waliokulea na kukufundisha ivyo kweli ama shuleni uliyosoma.
Unataka ukamsaidie. Afu suala la kukazwa mbona kawaida mkuu ama wewe huko huwa hawafanyiwi hayo.
Afu mie nilijua kuwa utakuwa ni mjanja Sana utakuja na tusi jipya mbona ya kawaida,hasahasa utaishia kutaja viungo vya sirini ambavyo niliwasikiaga watt waliolelewa na wazazi wao wazuri na wanawafundisha Mana walikuwa wakiwasikia wakiyaongea sebuleni wazazi wao na wao wakaiga wakafanana na wewe.
Mie maza alikuwa bize na ivyo ulivyosema.