Kwanza tuelewane kwamba, Taifa stars haina uwezo wa kuleta ushindani kwenye soka la ninataka kwa sasa, na hata mwakani!! Tunaweza kua tunawachezaji wazur wenyew viwango ila tumekosa mikakati.
Wachezaji hawajui majukumu yao wakiwa uwanjan, kwa mfano Leo, ni nani alikua ana jukum la kuziba nafasi ya Haji mwinyi na Juma(Leo hupanda sana labda kadi ya mapema ilimpa uoga) wanapoenda kushambilia? Kiukweli kulikua hakuna malengo, walikua wanacheza tu wakamilishe ratiba na wala tulivyokua tunaamini kua watafanya vizur!!
Kama tunataka kosonga mbele basi tuwekeze kwenye soka.la vijana...