[emoji3][emoji3]. Wengine ni ubahili au ni vile tu kazoea shida, unakuta mabasi mazuri yapo lkn kang'ang'ana na hayo mengine pasua kichwa.Hahahaaa, mtu anasafiri kati ya Kongwa na Dodoma kwa mabasi yale ya kule, siku akipanda bus lenye AC tu anazunguka Kongwa nzima kutangaza amepanda luxury, na sembuse akibahatika kuwa na simu yenye android basi ni tabu, atasifia hilo bus kama lake vile
π€£ you made my dayKm leo nipo kwa VIP lkn nimebaki na buku mbili mfukoni ha haaa maisha ni kuchagua.
π€£π€£π€£ Cheka tuπ€£ you made my day
Hamna gari ambalo unapewa chakula bongo! Luxury ambalo ndio top class utaambulia pipi na soda + maji! Mbali na hilo labda ni full ac ila kuhusu wifi ni utapeli wa mchana kweupe! Hakujawahi kuwa na basi lenye bando π π π !
Katika kila basi nililopanda aidha kifurushi kilikua hamna au wifi kwa ujumla haipo kabisa inategemewa simu ya konda ndio isambaze hotspot kweli? Wameshindwa kujiongeza kununua vile vi wifi dongle vya huawei kulipia hata GB100 kwa mwezi!
Unlimited wanakuungia kwa bei gani mkuu! Naomba link maana natafuta hio pckageMkuu zipo hadi za ULTD voda kwa 120k majengo mengi KKoo wanatumia saiv
Mkuu,Ni wadanganyifu tu, wanajua watanzania siyo wafuatiliaji wa kujua haki zao, all in all
Luxury buses or coaches are typically used for travelling longer distances, coaches place more of an emphasis on comfort and entertainment. Coaches are often equipped with larger, more comfortable seats, whereas buses possess standard two and three-seater, bench-style seats.
π€ͺπ€ͺ unategemea biskuti na soda ofa ya BM ama?[emoji3][emoji3]. Wengine ni ubahili au ni vile tu kazoea shida, unakuta mabasi mazuri yapo lkn kang'ang'ana na hayo mengine pasua kichwa.
Binafsi napenda kusafiri vizuri ni bora nisile njiani. Km leo nipo kwa VIP lkn nimebaki na buku mbili mfukoni ha haaa maisha ni kuchagua.
Mkuu Kibosho1 kuna usemi unasema "what is luxury to you is necessary to me" sijui kama umewahi kuusikia, nilitoa mfano hapo awali nikasema kuna enzi fulani hapa nchini ilikuwa ukienda kununua radio cassette dukani unaambiwa hiyo ni anasa, ukivaa suti, miwani na tai unaambiwa unafanya anasa, ukiwa na TV na saloon car unaambiwa unafanya anasa, sasa kitu kuita anasa kinatategemeana na mtu anayekihitaji na kwa kukidhi hitaji ganimarxlups na FRANC THE GREAT ni kweli kabisa Luxury ni anasa. Kwann ni anasa?
Hizo huduma zinazopatikana ni muhimu kwa binadamu lakini zinatolewa wap? Basi ni kwa ajili ya kusafiri na hata hizo huduma zikikosekana safari utafika tu.
Waliweka hizo kama anasa tu za kufanya safari ivutie au ufurahie bila kuchoka. Tunaita anasa zinapokuwa kwenye basi sababu sio mahali pake.
Wanajitahidi lakini seat 4 tu za pale mbele ndio zina huduma za kvip.....Yes kipo. Full AC. Wanajitahidi kiasi chake
πππNa huu ndio ukweli kwa sababu hata miaka ya 2010 ukiwa touch kali utaambiwa ni anasa....1990 ukivaa nguo za dukani ilikua ni anasa...nimekuelewa mzeeMkuu Kibosho1 kuna usemi unasema "what is luxury to you is necessary to me" sijui kama umewahi kuusikia, nilitoa mfano hapo awali nikasema kuna enzi fulani hapa nchini ilikuwa ukienda kununua radio cassette dukani unaambiwa hiyo ni anasa, ukivaa suti, miwani na tai unaambiwa unafanya anasa, ukiwa na TV na saloon car unaambiwa unafanya anasa, sasa kitu kuita anasa kinatategemeana na mtu anayekihitaji na kwa kukidhi hitaji gani
Ongeza na ubora wa seat,seat hufanya abiria awe comfortable,asiumie mbavu na mgongoLuxury bus ni basi lenye huduma za anasa yaani luxury. Upya wa basi sio suala la lazima. Not necessary!
Huduma za anasa ni kama vile; Wi-Fi, kiyoyozi (AC), chakula na vinywaji, runinga, kitanda cha kulala, maliwato n.k.
Basi bila matairi mazuri mtalala poriniView attachment 1780996
1. Je ni hizo huduma hapo βοΈ au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?
Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.
EWURA au LATRA(mtanisahihisha) wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?
Wajuvi tusaidiane hapoβοΈ
Ndio mkuu na nitafika sijachoka, nikifika tu napata ile nyama pendwa tekenya, wine glass chache siku imeisha.[emoji2957][emoji2957] unategemea biskuti na soda ofa ya BM ama?
Unazungumzia BM la kwenda Moro ndo lipo hivyo, na halina choo. Arusha Dar ni VIP basi zima.Wanajitahidi lakini seat 4 tu za pale mbele ndio zina huduma za kvip.....
AsanteπππNa huu ndio ukweli kwa sababu hata miaka ya 2010 ukiwa touch kali utaambiwa ni anasa....1990 ukivaa nguo za dukani ilikua ni anasa...nimekuelewa mzee
π π πAfadhali ulipanda na kuku..... Kuna mengine nimeshuhudia jaa wanasafiri na mbuzi ndani ya basi. Mkishuka wote mnatoa harufu kama beberu la mbuzi au kondoo... [emoji1787]
πππNa huu ndio ukweli kwa sababu hata miaka ya 2010 ukiwa touch kali utaambiwa ni anasa....ukivaa nguo za dukani ilikua ni anasaMkuu Kibosho1 kuna usemi unasema "what is luxury to you is necessary to me" sijui kama umewahi kuusikia, nilitoa mfano hapo awali nikasema kuna enzi fulani hapa nchini ilikuwa ukienda kununua radio cassette dukani unaambiwa hiyo ni anasa, ukivaa suti, miwani na tai unaambiwa unafanya anasa, ukiwa na TV na saloon car unaambiwa unafanya anasa, sasa kitu kuita anasa kinatategemeana na mtu anayekihitaji na kwa kukidhi hitaji gani
Umenikumbusha Hood za Arusha kila siku wanawafaulishia kwa mshindani wakeBasi bila matairi mazuri mtalala porini