Kwa uzoefu nilioupata toka ughaibuni ni kwamba mabasi hayafunguki vioo kwakuwa yana temperature regulators kwa maana ya kwamba kukiwa na joto wanatumia vipozahewa na kukiwa na baridi wanatumia viongeza joto kwahiyo inakuwa hakuna haja ya kufungua madirisha na pia wana uhakika wa kuwa vifaa hivyo vinakuwa up to date ili kutosababisha usumbufu kwa abiria, huenda Scandinavia naye alitaka kufika huko, nakumbuka alikuwa na mabasi yenye siti za kulala na yalikuwa na kipakata miguu, yalikuwa yanakwenda Mwanza, Kampala na Nairobikwanini baadhi ya bus zao (nililopanda mie enzi hizo) zilikuwa hazifunguki vioo?
Ww unaamini ili liwe luxury linatakiwa kuwa na nini?Sasa wewe una panda bus ili ukanye huko? Luxury sio lazima liwe na choo.
Sent using Jamii Forums mobile app
KaribuShukrani kwa ufafanuzi Mkuu
Watapiga hela kweli na ikibidi gharama zipungue zikifika hata 50k kila mtu wa kipato cha kati anaweza kumudu!Huko bado,ni Kkoo, Msasani Mbezi Beach bado hawajaimaliza hata DAR,ila naamini watapiga sana hela
😄😁😆😅😂🤣zinachosha sana....safari inakuwa ngumu mno.....ukizingatia ukikaa kwenye viti vyao unakunja miguukama upo kwenye choo cha shimo
Chuki ni maradhi na chuki humchoma anayehifadhi.Kumpa mtu benz la bei mbaya wakati halihitaji na huku watu wanakufa kwa kukosa dawa, pia ni kumpa mtu jengo la kifahari wakati tayari ana majengo chungu mzima nchi nzima na wala hayatumii kwa lolote zaidi ya fahari
Hii ndio bongo mkuuKumpa mtu benz la bei mbaya wakati halihitaji na huku watu wanakufa kwa kukosa dawa, pia ni kumpa mtu jengo la kifahari wakati tayari ana majengo chungu mzima nchi nzima na wala hayatumii kwa lolote zaidi ya fahari
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣 Hiyo namba 5 ndo kero yangu ingine,unapanda basi mpaka mnafika ni nyimbo za dini tu. Sa unajiuliza kwa wasio na dini? Au wenye dini nyingine?.Basi za Bongo unakata tiket kuna yafuatayo yanaweza kutokea
1. seat kaka mtu mwenye tiket yenye namba hiyo hiyo .. kumbe uliponunua ww au yeye hawakujaza kwenye kitabu seat ikaonekana tupu ikauzwa.. na kama kapandia njian . mgogoro
ukiwa mkubwa akaja trafik sheria inasema jina lililopo kwenye chart ndo mwenye seat halal sasa wewe kama jina halipo unarudishuwa nauli unashuka. imagine uko katikat ya safari uanze kuunga
2 unakaa seat dirishan huna uhuru na dirish kbe unashare na wa mbele au wa nyuma.. ukifungua unafunga upande wake akifungua yeye anafunga kwako yaan kama
madirisha ya aliminium.. mpangilio wa seat hauendan na madirisha.
3. unaombwa upishe mtu akae dirishan maana ana mtoto au anaumwa anaweza kutapika
4. ukishuka kwenda kuchimba dawa beba vitu vyako
5. kwenye basi wanaweka miziki au movie kwa wanazotaka wao kwa saut kubwa bila kujali kuna mwingine ana kitabu.. hakuna control ya saut kwenye kila seat.
6. dirisha halifunguki
7. wa mbele yako kalaza seat kakubana au seat zimebana unakaa miguu umeikunja kama unafanya yoga
na mengine meengi ongezee
Nb: namba mbili imepungua kutokana na ticket za kielectronic
Mpaka kitanda..!Luxury bus ni basi lenye huduma za anasa yaani luxury. Upya wa basi sio suala la lazima. Not necessary!
Huduma za anasa ni kama vile; Wi-Fi, kiyoyozi (AC), chakula na vinywaji, runinga, kitanda cha kulala, maliwato n.k.
Sawa mkuuSio yote. Route ya arusha Kuna basi sitalitaja namba linapitia chalinze vip ni seat 4 za mbele 45,000, Nyuma ni kawaida na nauli ni 33,000
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
maana yake ina GPA kubwaNa Basi iliyoandikwa UPPER CLASS?
Hongera
Level alizofikia Scandnavia miaka hiyo, hakuna bus linalofikia hata nusu kwa sasa.Hawa jamaa wasingevurugwa na wanasiasa huenda wangekuwa kwenye hizo huduma za luxury
View attachment 1781083
View attachment 1781086
Hiyo yenye choo ndani?Panda BM VIP
Upo sahihi kabisaLevel alizofikia Scandnavia miaka hiyo, hakuna bus linalofikia hata nusu kwa sasa.