Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpa mtu benz la bei mbaya wakati halihitaji na huku watu wanakufa kwa kukosa dawa, pia ni kumpa mtu jengo la kifahari wakati tayari ana majengo chungu mzima nchi nzima na wala hayatumii kwa lolote zaidi ya fahariNini maana ya Anasa?
Ukutane na semi dereva kachoka katoka zake zambia anakuletea bodii plus barabara zetu mtajikuta chini wote
Kwa barabara zetu haya tutayasikia tu redioni
Upana ni sawa tu na mabus mengine upana yanafata standard ya dunia.Kwann yasitembee road zetuKwa barabara zetu haya tutayasikia tu redioni
Upana ni sawa tu na mabus mengine upana yanafata standard ya dunia.Kwann yasitembee road zetu
View attachment 1781080
View attachment 1781081
Kuku wa kienyeji au wa kizungu mwanangu..!?Jana nimepanda basi moja na kuku.
Mkuu hii kitu ipo asee na inapiga route za Musoma-Arusha na Arusha-Loliondo nk...View attachment 1781082
Na mimi nimekuja na yangu hii hapa
kwan ungeandika kwa lugha ya kiswahili ungepungukiwa nn!!Ni wadanganyifu tu, wanajua watanzania siyo wafuatiliaji wa kujua haki zao, all in all
Luxury buses or coaches are typically used for travelling longer distances, coaches place more of an emphasis on comfort and entertainment. Coaches are often equipped with larger, more comfortable seats, whereas buses possess standard two and three-seater, bench-style seats.
Nimenukuu kwa wenginekwan ungeandika kwa lugha ya kiswahili ungepungukiwa nn!!
Anasa ni kitu kinachokufaharisha ama kukustarehesha kupita kawaida.Nini maana ya Anasa?
Vikizi vigezoView attachment 1780996
1. Je ni hizo huduma hapo [emoji3516] au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?
Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.
EWURA au LATRA(mtanisahihisha) wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?
Wajuvi tusaidiane hapo[emoji3516]