Maana halisi ya "Luxury Bus" ni nini?

Maana halisi ya "Luxury Bus" ni nini?

marxlups na FRANC THE GREAT ni kweli kabisa Luxury ni anasa. Kwann ni anasa?
Hizo huduma zinazopatikana ni muhimu kwa binadamu lakini zinatolewa wap? Basi ni kwa ajili ya kusafiri na hata hizo huduma zikikosekana safari utafika tu.

Waliweka hizo kama anasa tu za kufanya safari ivutie au ufurahie bila kuchoka. Tunaita anasa zinapokuwa kwenye basi sababu sio mahali pake.
Kwa umbali uleule kwenye ndege kuna Economy, Business na First Class.

Luxury sio anasa tena dunia ya sasa.
 
Mkuu Kibosho1 kuna usemi unasema "what is luxury to you is necessary to me" sijui kama umewahi kuusikia, nilitoa mfano hapo awali nikasema kuna enzi fulani hapa nchini ilikuwa ukienda kununua radio cassette dukani unaambiwa hiyo ni anasa, ukivaa suti, miwani na tai unaambiwa unafanya anasa, ukiwa na TV na saloon car unaambiwa unafanya anasa, sasa kitu kuita anasa kinatategemeana na mtu anayekihitaji na kwa kukidhi hitaji gani
Kuna watu wamesha-normalize povery na kuwa sehemu ya maisha yao.

Na wapo comfortable na hilo.
 
hapo namba 5 hasa kwenye Super Champion yaani kuna zile muvi za kuhadithiwa na DJ kama mpira maarufu maeneo ya Tandale,Maji Matitu, au Buza , zinachosha sana....safari inakuwa ngumu mno.....ukizingatia ukikaa kwenye viti vyao unakunja miguukama upo kwenye choo cha shimo
8. Ukipanda basi ndani kukiwa na wasukuma wawili wakianza kuongea ni makelele mwanzo mwisho.....huwezi hata kuongea na simu tena mpaka walale
Miaka kama mitatu nyuma niliwahi panda shabiby luxury kabisa.

Wakaweka hizo movies.

Niliwadharau sana toka siku hiyo.
 
Katika mabasi nilyopanda naweza kusema KILIMANJARO Express ndio wana hizo huduma za luxury
Ac mwanzo-mwisho.
Comfortable seat.
Toilet safi kabisa.
Mda wa kula hotelini ni nusu saa (30 min), kampuni nyingine ni dkka kumi tu!
Mwendo (uendeshaji) murua kabisa.
Konda-mwanamke mzuri mwenye kutoa huduma ya viwango wakati wote (miithili ya air hostes), kampuni nyingine makonda ni wahuni tu kazi yao pekee ni kuokota abiria wa njiani shenzi kabisa.
Runinga kama kawaida ila sio muvi ya kina mkojani, ni media zilizo pangiliwa vizuri
Biskuti+ soda+maji+pipi.
Booking office very comforting huduma zote ukiwa unasubiri gari ifike usepe

Kwakweli nikitumia pesa yangu kwa hawa jamaa huwa sijutii kabisa ila kampuni nyingine tutapambana mpaka nihakikishe natoa pesa ya mmiliki wa gari pekee hakuna cha ya mpiga debe wala nini
 
Kama mtu anasema kuwa na choo ni anasa unamwelewaje
Kuna watu wameshazoea maisha magumu ya matesomateso kwao hayo ndio maisha ya kawaida. Watu Kama hao walishajikatia tamaa miaka mingi sana 😂😂, Wala usibishane nae we muelewe tu upite kushoto ukicheka kimoyomoyo
 
Kuna watu wameshazoea maisha magumu ya matesomateso kwao hayo ndio maisha ya kawaida. Watu Kama hao walishajikatia tamaa miaka mingi sana 😂😂, Wala usibishane nae we muelewe tu upite kushoto ukicheka kimoyomoyo
Ni kweli kabisa, wao tafsiri ya choo ni choo cha shimo, kuchamba kwa nyasi na kiwe na pazia la gunia
 
Mnapanda mabasi au Takataka?
Huku tunasafiri na mabus wiki nzima huchoki, wifi, choo,ndani na pombe zote njiani zipo,kila baada masaa mawili mko fast food mnakula.
Hayo ndio tunaita mabus, sio umepanda Majinja we utafika safari yako ila cha moto utakiona.
Haji Manara kumbe hii ndo ID yako 😀, alafu kumbe we ni mlevi bana aisee 😂😂
 
Hili halizingatiwi. Juzi kati baada ya kukosa magari yote sijui yalikuwa yamekodishwa kwenda wapi nimepigwa vibaya kuambiwa ni luxury nauli 33,000 Arusha Dar.
Kuingia ndani nusu nizimie basi chafu ni kama halijawahi kufanyiwa usafi, halina service yoyote..unaambiwa linaondoka saa 12 lkn linaondoka masaa matano baadae.
Nauli kila mtu kalipa tofauti..
Tupo tuliopigwa 33, wengine 25, 22 hadi.17.
Kundoka Arusha saa 2 asb kufika dar saa 5 usiku.

Osaka Express pambav zenu.
Usikasirike mama kuna kitu umejifunza, siku nyingine usiwe 'fala' 😂
 
Hii nimeona mara nyingi sana ndio mana kujiuliza,nisije lalamika nikaonekana mshamba. Kweli Luxury haina AC? Ndani ofa chungwa 1 tu!!🤔 Inabidi mamlaka husika zisimamie hichi kiti vizuri mana raia wengi hawajui. Wengi wanaju ni upya wa basi
Mamlaka zinapanda vieitee unawaeleza ujinga gani
 
Walishakitia plaster watu walikosa ustaarabu, fikiria mtu ametoka Kongwa anajichamba kwa kutumia ukurasa wa kitabu au daftari, choo kitaacha kuziba, nani atakuwa anashinda huko chooni kutoa shule!!!
Aisee hivi hawa watu Kongwa wana shida gani lakini?
 
marxlups na FRANC THE GREAT ni kweli kabisa Luxury ni anasa. Kwann ni anasa?
Hizo huduma zinazopatikana ni muhimu kwa binadamu lakini zinatolewa wap? Basi ni kwa ajili ya kusafiri na hata hizo huduma zikikosekana safari utafika tu.

Waliweka hizo kama anasa tu za kufanya safari ivutie au ufurahie bila kuchoka. Tunaita anasa zinapokuwa kwenye basi sababu sio mahali pake.
Abiria wanatofautiana (target market)
Kuna akina nyie ambao ni mradi ufike tu hamjali misukosuko yoyote itakayotokea hapo kati, binafsi nawakubalu sana mpo kama wanajeshi
Na Kuna wale civilized, mimi nipo hapa
 
Bora mabasi hayo yasiwepo maana akipanda abiria kwa kongwa wamezoea kutawazia magunzi ya mahindi

Na huyu ni kaka yao wanakongwa hapa ameadvance


1620821788664.png
 
View attachment 1780996
1. Je ni hizo huduma hapo ☝️ au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?

Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.

SUMATRA wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?

Wajuvi tusaidiane hapo☝️
Ukigundua umepanda gari tofauti na ulivyoambiwa na mawakala au wapiga debe,unamwambia dereva pleeeeeees kwa usalama wako wahisha gari kituo cha polisi tukaelewane
 
Back
Top Bottom