Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Still hiyo sio luxury.Katika mabasi nilyopanda naweza kusema KILIMANJARO Express ndio wana hizo huduma za luxury
Ac mwanzo-mwisho.
Comfortable seat.
Toilet safi kabisa.
Mda wa kula hotelini ni nusu saa (30 min), kampuni nyingine ni dkka kumi tu!
Mwendo (uendeshaji) murua kabisa.
Konda-mwanamke mzuri mwenye kutoa huduma ya viwango wakati wote (miithili ya air hostes), kampuni nyingine makonda ni wahuni tu kazi yao pekee ni kuokota abiria wa njiani shenzi kabisa.
Runinga kama kawaida ila sio muvi ya kina mkojani, ni media zilizo pangiliwa vizuri
Biskuti+ soda+maji+pipi.
Booking office very comforting huduma zote ukiwa unasubiri gari ifike usepe
Kwakweli nikitumia pesa yangu kwa hawa jamaa huwa sijutii kabisa ila kampuni nyingine tutapambana mpaka nihakikishe natoa pesa ya mmiliki wa gari pekee hakuna cha ya mpiga debe wala nini
Ni semi luxury.