babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Osaka wakwe zangu hawa washauwawa siku nyingi kiuchumiHili halizingatiwi. Juzi kati baada ya kukosa magari yote sijui yalikuwa yamekodishwa kwenda wapi nimepigwa vibaya kuambiwa ni luxury nauli 33,000 Arusha Dar.
Kuingia ndani nusu nizimie basi chafu ni kama halijawahi kufanyiwa usafi, halina service yoyote..unaambiwa linaondoka saa 12 lkn linaondoka masaa matano baadae.
Nauli kila mtu kalipa tofauti..
Tupo tuliopigwa 33, wengine 25, 22 hadi.17.
Kundoka Arusha saa 2 asb kufika dar saa 5 usiku.
Osaka Express pambav zenu.
Mtoto wa mzee kaomba poo juzi hapo..
Alichonifanya miaka 18 iliyopita mungu shahidi
Nimemsamehe anyway.