Maana ya baadhi ya maneno ya kiingereza

Maana ya baadhi ya maneno ya kiingereza

Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
BAKITA ni washenzi sana aisee. Wanatuchanganya big time.
 
Mf: Uko zako kitambaa,

Baada ya kitimoto na bia unawmwambia mhudumu akuletee "kimbaka" chap.

Aisee, utata wake itabd meneja aitwe😂
Kumbe hata wewe umeona eeh? 😀 😀 😀 😀 😀
 
Mamlaka zizingua sana katika ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili.
Lugha ikiwa sehemu ya utamaduni, inatokana na jamii, ni mali ya jamiii na inanyumbulika kwa kufuata matakwa na mabadiliko ya jamii.

Siyo sahihi kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili kufanya maamuzi kuhusu unyumbukaji wa lugha ya Kiswahili. Wanachopaswa kufanywa ni kurasimisha matakwa ya jamii na siyo wao kuwapa jamii maana. Iwapo wataendelea na hii desturi ya kutaka kumiliki lugha ya Kiswahili, watasababisha tafsiri yao ya lugha iliyomo mkwenye kamusi kutofoautiana lugha halisi ya kiswahili. Mfano wananchi wanaita Kompyuta lakini wao wamejitungia tafsiri yao hali amabyo imesababisha wananchi wasiizingatie kamusi.

Aidha wanapaswa kuelewa kuwa lugha ni flexible inabadilika kutokana na wakati na kutokana na eneo. Mfano kuna kiswahili cha Zanzibar, Pwani, Bara, Mombasa, Nairobi, East DRC, Burundi n.k. Wote hawa wapo sahihi kwani wanaweza kuelewana katika model hizo za kiswahili na wao ndio wameamua iwe hivyo. hata Kamusi ya Kiswahili isemeje haiwezi kubadili model zao za Kiswahili.

Kifaransa cha Paris ni Tofauti na cha Ubelgiji, Canada, Geneva, Kinshasha, Bujumbura n.k. English ya London ni tofauti na Birmingham, Liverpool, Marekani, scotland, Ireland, Kenya, South Africa, Zimbabwe, USA, Malawi n.k. Pamoja na tofauti hizo wote wanaonea kiingereza sahihi na kamusi zao hazilazimishi wote waongee kingereza cha London au French ya Paris.

Wanapaswa kubadilika ili kuitendea haki jamii
Mkuu umemaliza kila kitu. Uzi ufungwe.
 
Mamlaka zizingua sana katika ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili.
Lugha ikiwa sehemu ya utamaduni, inatokana na jamii, ni mali ya jamiii na inanyumbulika kwa kufuata matakwa na mabadiliko ya jamii.

Siyo sahihi kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili kufanya maamuzi kuhusu unyumbukaji wa lugha ya Kiswahili. Wanachopaswa kufanywa ni kurasimisha matakwa ya jamii na siyo wao kuwapa jamii maana. Iwapo wataendelea na hii desturi ya kutaka kumiliki lugha ya Kiswahili, watasababisha tafsiri yao ya lugha iliyomo mkwenye kamusi kutofoautiana lugha halisi ya kiswahili. Mfano wananchi wanaita Kompyuta lakini wao wamejitungia tafsiri yao hali amabyo imesababisha wananchi wasiizingatie kamusi.

Aidha wanapaswa kuelewa kuwa lugha ni flexible inabadilika kutokana na wakati na kutokana na eneo. Mfano kuna kiswahili cha Zanzibar, Pwani, Bara, Mombasa, Nairobi, East DRC, Burundi n.k. Wote hawa wapo sahihi kwani wanaweza kuelewana katika model hizo za kiswahili na wao ndio wameamua iwe hivyo. hata Kamusi ya Kiswahili isemeje haiwezi kubadili model zao za Kiswahili.

Kifaransa cha Paris ni Tofauti na cha Ubelgiji, Canada, Geneva, Kinshasha, Bujumbura n.k. English ya London ni tofauti na Birmingham, Liverpool, Marekani, scotland, Ireland, Kenya, South Africa, Zimbabwe, USA, Malawi n.k. Pamoja na tofauti hizo wote wanaonea kiingereza sahihi na kamusi zao hazilazimishi wote waongee kingereza cha London au French ya Paris.

Wanapaswa kubadilika ili kuitendea haki jamii
Umenena point muhim sn mkuu🙏
 
shasi ya kufutia mashonde
mwandazi naomba nipatie vibanzi na sharubati karakara usisahau kuniwekea na kimbaka
(waitress naomba unipatie chips juisi ya passion usisahau kuniwekea na toothpick)

NB tukiwaendekeza bakita tutajikuta ni wageni nchini kwetu 😁😁
Ha ha ha...walio pemben wanaweza hisi unateta na mhudum jins ya kuwafanyia ugaidi😊
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Archimedes Principle:

1713911313366.png
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Kwanza walipataje pataje hiyo kazi huko Bakita?
 
Mamlaka zizingua sana katika ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili.
Lugha ikiwa sehemu ya utamaduni, inatokana na jamii, ni mali ya jamiii na inanyumbulika kwa kufuata matakwa na mabadiliko ya jamii.

Siyo sahihi kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili kufanya maamuzi kuhusu unyumbukaji wa lugha ya Kiswahili. Wanachopaswa kufanywa ni kurasimisha matakwa ya jamii na siyo wao kuwapa jamii maana. Iwapo wataendelea na hii desturi ya kutaka kumiliki lugha ya Kiswahili, watasababisha tafsiri yao ya lugha iliyomo mkwenye kamusi kutofoautiana lugha halisi ya kiswahili. Mfano wananchi wanaita Kompyuta lakini wao wamejitungia tafsiri yao hali amabyo imesababisha wananchi wasiizingatie kamusi.

Aidha wanapaswa kuelewa kuwa lugha ni flexible inabadilika kutokana na wakati na kutokana na eneo. Mfano kuna kiswahili cha Zanzibar, Pwani, Bara, Mombasa, Nairobi, East DRC, Burundi n.k. Wote hawa wapo sahihi kwani wanaweza kuelewana katika model hizo za kiswahili na wao ndio wameamua iwe hivyo. hata Kamusi ya Kiswahili isemeje haiwezi kubadili model zao za Kiswahili.

Kifaransa cha Paris ni Tofauti na cha Ubelgiji, Canada, Geneva, Kinshasha, Bujumbura n.k. English ya London ni tofauti na Birmingham, Liverpool, Marekani, scotland, Ireland, Kenya, South Africa, Zimbabwe, USA, Malawi n.k. Pamoja na tofauti hizo wote wanaonea kiingereza sahihi na kamusi zao hazilazimishi wote waongee kingereza cha London au French ya Paris.

Wanapaswa kubadilika ili kuitendea haki jamii
Nadhani BAKITA inasababisha watoto wa shule kutumia muda mrefu sana kujiandaa na mitihani ya kiswahili, na kuwasababisha wshindwe kujifuza kiingereza. Wanapofika kwenye soko la kazi, wanakuta kiswahili fasaha hicho hakihitajiki, na wao hawakujiandaa na kiingereza kinachotakiwa makazini.
 
Hilo Baraza la awamu ya kwanza limefanya nchi iwe nyuma kimaendeleo na lugha ya mawasiliano mtaani tu na sio elimu.. kukomalia elimu ya nje na kuigeuza kiswahili ni ujinga pia... yaani wanaleta ujinga ule wa Jackson Makweta kukomalia Kiswahili kiendelee Mashuleni elimu ya Msingi
 
Nadhani BAKITA inasababisha watoto wa shule kutumia muda mrefu sana kujiandaa na mitihani ya kiswahili, na kuwasababisha wshindwe kujifuza kiingereza. Wanapofika kwenye soko la kazi, wanakuta kiswahili fasaha hicho hakihitajiki, na wao hawakujiandaa na kiingereza kinachotakiwa makazini.
Point ya msingi sana hii
 
Nadhani BAKITA inasababisha watoto wa shule kutumia muda mrefu sana kujiandaa na mitihani ya kiswahili, na kuwasababisha wshindwe kujifuza kiingereza. Wanapofika kwenye soko la kazi, wanakuta kiswahili fasaha hicho hakihitajiki, na wao hawakujiandaa na kiingereza kinachotakiwa makazini.
Tumefanya makosa makubwa sana katika Sera na sekta ya Elimu ambayo yamefanya wahitimu wasiwe competent na washindwe kumudu ushindani katika soko la ajira la kimataifa.

Wakati tunapata uhuru, mfumo wa Elimu haukuwa na matatizo makubwa, lakini tukabadili kila kitu kutoka 5-3-4 (12 years) kwenda 7-4-2 (13 years); kiingereza ilikuwa ndiyo medium of instruction kuanzia elimu ya awali hadi UNI kama ilivyo Kenya na Uganda lakini sisi tukafuta English na kufanya Kiswahili kuwa instruction language. Lakini kwa O'level hadi UNI English ikaendelea kuwa lugha ya kufundishia. wakati mabadiliko haya ya kisera yanafanyika, sayansi inasema muda sahihi wa binadamu ku master language ni 1-9 years. maboresho yaliyofanyika yalifanya mfumo wetu wa elimu utofautiane na mifumo ya kimataifa ya elimu na wahitimu wetu washindwe kumudu lugha ya kiingereza. kadhalika wanafunzi wengi wamekuwa wakishindwa kuelewa mafundisho shuleni na vyuoni hali ambayo inafanya wasipate ujuzi stahili na kufeli mitihani pasipo sababu za msingi. Kimsingi Nyerere licha ya nia njema alifanya miscaluculation ya hatari ambayo inalighalimu taifa massively hadi leo.

Alipoingia Mwinyi, Mungai akaanzisha UNIFIED science ikiwa ni mbadala wa biology, chemistry, physics; akaanzisha special schools; akaanzisha shule binafsi; na akaruhusu Frech liwe somo n.k. Kimsingi Mwinyi aliruhusu kizuri na kibaya.

Kikwete- Akaua shule za bweni, akaua shule za wavulana; akaua program ya kula shuleni; akaua vyuo vya kati ikiwemo Dar Tech, Mbeya Tech, vyuo vya Tanesco, CBEs, Vyuo vya Uhasibu kadhaa na vyuo vya Ualimu kadhaa kama chang'ombe na technical schools kadhaa. mbaya zaidi Hakujenga vyuo vya Kati vipya. Akaanzisha Vyuo vikuu vya kata ikiwemo St Joseph, Teophil Kisangi, chuo kiislamuu Moro n.k. Kimsingi, huyu bwana ndiye ali politicized elimu ambapo watu walianza kuamini zaidi katika cheti cha chuo kikuu kuliko know how. Degree na GPA za vyupi na kununua zikaashamiri. Tulianza na degree za vyupi na michongo sasa tume advance tupo katika PhDii za kununua, PhDii za Mawaziri na makatibu wakuu. kimsingi ukitaka kuongeza status yako kwa sasa unaenda UNI unafanya registration ya PhDii, unatoa mpunga kwa mkuu wa chuo, then unaendelea na shughuli zako, na baada ya three yrs unatunukiwa PhDii. kwa mwendo huu slowly tunaikimbiza Nigeria ambayo kwa sasa wapo katika level ya Uprofesaa wa michongo.

Mungu avipaganie vizazi vyetu wasirudie makosa tunayofanya na waliyofanya wazazi na babu zetu.
 
Tumefanya makosa makubwa sana katika Sera na sekta ya Elimu ambayo yamefanya wahitimu wasiwe competent na washindwe kumudu ushindani katika soko la ajira la kimataifa.

Wakati tunapata uhuru, mfumo wa Elimu haukuwa na matatizo makubwa, lakini tukabadili kila kitu kutoka 5-3-4 (12 years) kwenda 7-4-2 (13 years); kiingereza ilikuwa ndiyo medium of instruction kuanzia elimu ya awali hadi UNI kama ilivyo Kenya na Uganda lakini sisi tukafuta English na kufanya Kiswahili kuwa instruction language. Lakini kwa O'level hadi UNI English ikaendelea kuwa lugha ya kufundishia. wakati mabadiliko haya ya kisera yanafanyika, sayansi inasema muda sahihi wa binadamu ku master language ni 1-9 years. maboresho yaliyofanyika yalifanya mfumo wetu wa elimu utofautiane na mifumo ya kimataifa ya elimu na wahitimu wetu washindwe kumudu lugha ya kiingereza. kadhalika wanafunzi wengi wamekuwa wakishindwa kuelewa mafundisho shuleni na vyuoni hali ambayo inafanya wasipate ujuzi stahili na kufeli mitihani pasipo sababu za msingi. Kimsingi Nyerere licha ya nia njema alifanya miscaluculation ya hatari ambayo inalighalimu taifa massively hadi leo.

Alipoingia Mwinyi, Mungai akaanzisha UNIFIED science ikiwa ni mbadala wa biology, chemistry, physics; akaanzisha special schools; akaanzisha shule binafsi; na akaruhusu Frech liwe somo n.k. Kimsingi Mwinyi aliruhusu kizuri na kibaya.

Kikwete- Akaua shule za bweni, akaua shule za wavulana; akaua program ya kula shuleni; akaua vyuo vya kati ikiwemo Dar Tech, Mbeya Tech, vyuo vya Tanesco, CBEs, Vyuo vya Uhasibu kadhaa na vyuo vya Ualimu kadhaa kama chang'ombe na technical schools kadhaa. mbaya zaidi Hakujenga vyuo vya Kati vipya. Akaanzisha Vyuo vikuu vya kata ikiwemo St Joseph, Teophil Kisangi, chuo kiislamuu Moro n.k. Kimsingi, huyu bwana ndiye ali politicized elimu ambapo watu walianza kuamini zaidi katika cheti cha chuo kikuu kuliko know how. Degree na GPA za vyupi na kununua zikaashamiri. Tulianza na degree za vyupi na michongo sasa tume advance tupo katika PhDii za kununua, PhDii za Mawaziri na makatibu wakuu. kimsingi ukitaka kuongeza status yako kwa sasa unaenda UNI unafanya registration ya PhDii, unatoa mpunga kwa mkuu wa chuo, then unaendelea na shughuli zako, na baada ya three yrs unatunukiwa PhDii. kwa mwendo huu slowly tunaikimbiza Nigeria ambayo kwa sasa wapo katika level ya Uprofesaa wa michongo.

Mungu avipaganie vizazi vyetu wasirudie makosa tunayofanya na waliyofanya wazazi na babu zetu.
Nakubaliana na wewe; elimu yetu ilikuwa na false start, lakini Kikwete ndiye aliyeizika kaburini kabisa.
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Bakita wapo katika mkakati wa kuuua asili ya Kiswahili.
.hicho siyo Kiswahili "fasaha" kama wanavyodai. Ni ujinga mtupu.

Mfano charger iitwe "chaja" tu Kiswahili.
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Password= Nywira
 
Tumefanya makosa makubwa sana katika Sera na sekta ya Elimu ambayo yamefanya wahitimu wasiwe competent na washindwe kumudu ushindani katika soko la ajira la kimataifa.

Wakati tunapata uhuru, mfumo wa Elimu haukuwa na matatizo makubwa, lakini tukabadili kila kitu kutoka 5-3-4 (12 years) kwenda 7-4-2 (13 years); kiingereza ilikuwa ndiyo medium of instruction kuanzia elimu ya awali hadi UNI kama ilivyo Kenya na Uganda lakini sisi tukafuta English na kufanya Kiswahili kuwa instruction language. Lakini kwa O'level hadi UNI English ikaendelea kuwa lugha ya kufundishia. wakati mabadiliko haya ya kisera yanafanyika, sayansi inasema muda sahihi wa binadamu ku master language ni 1-9 years. maboresho yaliyofanyika yalifanya mfumo wetu wa elimu utofautiane na mifumo ya kimataifa ya elimu na wahitimu wetu washindwe kumudu lugha ya kiingereza. kadhalika wanafunzi wengi wamekuwa wakishindwa kuelewa mafundisho shuleni na vyuoni hali ambayo inafanya wasipate ujuzi stahili na kufeli mitihani pasipo sababu za msingi. Kimsingi Nyerere licha ya nia njema alifanya miscaluculation ya hatari ambayo inalighalimu taifa massively hadi leo.

Alipoingia Mwinyi, Mungai akaanzisha UNIFIED science ikiwa ni mbadala wa biology, chemistry, physics; akaanzisha special schools; akaanzisha shule binafsi; na akaruhusu Frech liwe somo n.k. Kimsingi Mwinyi aliruhusu kizuri na kibaya.

Kikwete- Akaua shule za bweni, akaua shule za wavulana; akaua program ya kula shuleni; akaua vyuo vya kati ikiwemo Dar Tech, Mbeya Tech, vyuo vya Tanesco, CBEs, Vyuo vya Uhasibu kadhaa na vyuo vya Ualimu kadhaa kama chang'ombe na technical schools kadhaa. mbaya zaidi Hakujenga vyuo vya Kati vipya. Akaanzisha Vyuo vikuu vya kata ikiwemo St Joseph, Teophil Kisangi, chuo kiislamuu Moro n.k. Kimsingi, huyu bwana ndiye ali politicized elimu ambapo watu walianza kuamini zaidi katika cheti cha chuo kikuu kuliko know how. Degree na GPA za vyupi na kununua zikaashamiri. Tulianza na degree za vyupi na michongo sasa tume advance tupo katika PhDii za kununua, PhDii za Mawaziri na makatibu wakuu. kimsingi ukitaka kuongeza status yako kwa sasa unaenda UNI unafanya registration ya PhDii, unatoa mpunga kwa mkuu wa chuo, then unaendelea na shughuli zako, na baada ya three yrs unatunukiwa PhDii. kwa mwendo huu slowly tunaikimbiza Nigeria ambayo kwa sasa wapo katika level ya Uprofesaa wa michongo.

Mungu avipaganie vizazi vyetu wasirudie makosa tunayofanya na waliyofanya wazazi na babu zetu.
Well said.

Watoto wenye uwezo wanapotezwa kwa kusomeshwa kiingereza shule za msingi na walimu wasiojuwa kiingereza.
Wakifika sekondari wanahamia kwenye kiingereza wasichokijuwa kama lugha ya kufundishia.
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Cocktail ni Sharubati tolotolo
 
Back
Top Bottom