Maana ya baadhi ya maneno ya kiingereza

Maana ya baadhi ya maneno ya kiingereza

Kibenteni anaitwa JOGOLO😂
images-1362.jpeg
 
ni "mubashara" au ni "mbashara" wangefafanua hili kwanza
 
Wasumbufu kulipa madeni bila shaka wataitwa "wanyagesi"🤣🤣
images-1367.jpeg
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Wana-complicate maneno kiasi ambacho raia hawatakaa wayatumie kwa sababu ni magumu halafu hayaendani na vitu. Kwa nini hawashirikishi umma? Kwenye hii list neno walilolipatia ni kadikazi (business card). Ukiniambia mimi nitoe maoni yangu:
1. Charger - kichajio
2. Appertizers - kitiahamu
3. Simcard - kadisimu
4. Memory card - Kadikumbu
5. Business card - kadikazi (nalikubali)
6. Microwave - Jikomiale
7. Cocktail - tafrijatanzu
8. Lift - lifti
9. Toothpick - kichokoameno
10. Scanner - Kidurufu
 
Kumtorosha mke wa mtu kutaitwa "kuhala"
images-1369.jpeg
 
Hawa wanakula mshahara wa bure tu
Eti chips ni vibanzi

Si umwambie hivyo muuzaji si utakula mabanzi?
 
Back
Top Bottom