Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu

Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu

Jina halina maana yoyote katika uongozi wa nchi bali sifa za mtu binafsi,weledi, uadilifu, ubunifu, uaminifu, uchapakazi na mengine kama hayo. Sijui majina ya Magufuli yalikuwa na uhusiano gani na utendaji wake. Nadhani mleta mada anataka kupromoti imani yake ya kiarabu.
 
Jina halina maana yoyote katika uongozi wa nchi bali sifa za mtu binafsi,weledi, uadilifu, ubunifu, uaminifu, uchapakazi na mengine kama hayo. Sijui majina ya Magufuli yalikuwa na uhusiano gani na utendaji wake. Nadhani mleta mada anataka kupromoti imani yake ya kiarabu.
Uarabu si imani. Kusema "Uarabu" ni kama kusema "Uswahili", Uswahili ni imani?

Unajidai kuuponda Uarabu huku unajiita Mstaarabu. Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
 
Jina halina maana yoyote katika uongozi wa nchi bali sifa za mtu binafsi,weledi, uadilifu, ubunifu, uaminifu, uchapakazi na mengine kama hayo. Sijui majina ya Magufuli yalikuwa na uhusiano gani na utendaji wake. Nadhani mleta mada anataka kupromoti imani yake ya kiarabu.
Mara kadhaa jina limesadifu maisha ya mtu na Kama huamin watafute wakina Shida, tatizo na wengine wenye majina hayo utajifunza kitu au jisomee Haya majina tusiwape newborn (watoto)
 
Uarabu si imani. Kusema "Uarabu" ni kamakama kusema "Uswahili", Uswahili ni imani?

Unajidai kuuponda Uarabu huku unajiita Mstaarabu. Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
Uislam ni uarabu uliofichwa kwenye dini sawa na uzungu ulivyofichwa kwenye ukristo. Ndiyo maana hata waswahili kwa upumbavu wao wanakwenda jangwani eti ni sehemu takatifu wakati utakatifu uko kila mahali duniani kulingana na wanaoishi pale. Kama kungekuwa na maeneo matakatifu basi yangukuwa Afrika. Kwangu uislam ni uarabu maana hata quran inasema tumewashushia dini kwa kiarabu ili muielewe. Kuna wamakonde hapo? Yesu naye anasema hakuja bali makabila 12 ya israel na si yote. Hapo msukuma upo?
 
Wewe Ustadhati Faiza na Mzee Mohamed Said hapa JF forum nawapongeza sana kwa Propaganda za kidini na kutaka kuligawa Taifa

Naona mmetoka mafichoni sasa mnaanza kuhubiri udini kama kawaida yenu

Ahaaa nilijua tu sasa utakuja kwa kasi baada ya miaka mitano kujificha chini ya utawala wa JPM, Sasa umekuja kueneza Propaganda na itikadi kali za kidini kama kawaida yako

Huu ni mwanzo tu Mama Faiza naona mvua yenyewe tunasubiri

Ni wakati mtaanza tena kushinikiza mahakama ya kadhi kama wakati wa JK

Ni wakati Mama asipokuwa makini Nyaraka kali na za onyo zitaanza kutembezwa toka CCT, Tec na Vatican


Ndio maana JK aliamua kuziba masikio na kusafiri tu kila siku maana nyumbani ilikuwa Wengine Nyaraka Wengine Tunataka Mahakama ya kadhi

Tutashuhudia mengi


Hizo Nyaraka za Tec na Vatican zilikuwa wapi
Wakati watu wanatekwa na kuuwawa?
Wakati siasa inapigwa marufuku??
 
Uislam ni uarabu uliofichwa kwenye dini sawa na uzungu ulivyofichwa kwenye ukristo. Ndiyo maana hata waswahili kwa upumbavu wao wanakwenda jangwani eti ni sehemu takatifu wakati utakatifu uko kila mahali duniani kulingana na wanaoishi pale. Kama kungekuwa na maeneo matakatifu basi yangukuwa Afrika. Kwangu uislam ni uarabu maana hata quran inasema tumewashushia dini kwa kiarabu ili muielewe. Kuna wamakonde hapo? Yesu naye anasema hakuja bali makabila 12 ya israel na si yote. Hapo msukuma upo?
Hapo ndipo watu kama wewe mnanishangaza. Mnatoa majibu msiokuwa na yakini nayo, mnaota tu au ndio mnavyadanganyana.

Waraabu wote duniani hawafiki hata asilimia 25 ya Waisla.m Na ingekuwa Uarabu ndio Uislam basi Waarabu wote wangekuwa Waislam.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Jina halina maana yoyote katika uongozi wa nchi bali sifa za mtu binafsi,weledi, uadilifu, ubunifu, uaminifu, uchapakazi na mengine kama hayo. Sijui majina ya Magufuli yalikuwa na uhusiano gani na utendaji wake. Nadhani mleta mada anataka kupromoti imani yake ya kiarabu.
Kabisa ni upuuzi tuu.Tunataka matokeo siyo majina hapa,,Kuna watu wanaitwa Yesu au Mohammad kaangalie matendo yao ni mafilauni tu
 
Kweli kabisa. Hassan. Naomba malizia wewe, ni jukwaa huru na itapendeza zaidi ukimalizia, habari zikitoka from different sources zinanoga.
Hassan ni miongoni mwa majina Bora kabisa kimaana. Ni neno au jina lenye asili ya kiarabu ambapo maana yake kwa kiswahili ni "nzuri"

Hassan= Nzuri

Maana ya Hassan kijina ni "Mtenda mema"

Kwahiyo kama majina ya mtu husadifu sifa zake, na yana athari katika mambo yake basi Mheshimiwa rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan ni mwenye jina Bora kabisa lenye maana nzuri mno.
 
Pengine nikisema " wa baibui au barakashia" utaelewa lizuri!
Baibui lilitokana na kitambaa kutengenezwa na hariri ambayo imefanana na sana na uzi wa buibui.

Barakashia ni aina ya mshono na sataili ya kofia aliokuwa anatumia Seyyid Said Barghash, aliyewahi kuwa mtawala wa Zanzibar.

Huyo mtu inadhihirika kuwa Ma shaa Allah alikuwa ni mtu mbunifu sana na ndio maana mpaka leo kofia alizobuni zinatajika na zimekuwa ni jina la kawaida, na jina ala chuo kikuu cha kwanza Afrika Mashariki alilotoa alipojenga chuo hicho hapo ambapo sasa panajulikana kama Ikulu ya Dar Es Salaam, mpaka leo limehama kutoka chuo kikuu kilichobadilishwa na Mjerumani kuwa nyumba ya Governor wake mpaka kuwa ni jina la jiji kubwa sana.
 
Karibu tena na sana mkuu hapa jukwaani.

Ulipotea na baadhi yetu tunaokujali na tunothamini mchango wako tukaanza patwa na wasiwasi.

Shukran kwa kutufafanulia maana ya jina la rais wetu mpya. Tutegemeeni makubwa kutoka kwake na Allah amuongoze!
Huenda jiwe alimtenga maana huyo ni pro msoga

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.

1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".

2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.

Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.


Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.

Ma Shaa Allah.
mastory ya human inventions
 
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.

1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".

2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.

Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.


Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.

Ma Shaa Allah.
Mbona unawaza pafupi sana maaana yake inatusaidia nni ss kwenye ujenzi wa taifa???
 
Back
Top Bottom