Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana.......Una haki na maoni yako.
Karibu sana FaizaFoxy, it has been long time!AlhamduliLlah nipo salama salmin. Bi Samia Suluhu kaniibua tena.
Wewe unasaidia nini kwenye ujenzi wa Taifa?Mbona unawaza pafupi sana maaana yake inatusaidia nni ss kwenye ujenzi wa taifa???
Hujui ndio maaana unasema hivyo bas kaaa na hizo maaaana zakoWewe unasaidia nini kwenye ujenzi wa Taifa?
Tazama wazee wa madrassa wanavyosaidia ujenzi wa Taifa: "Social Economic Empowerment Program,." Madrassa Yabuni Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshanana kiuchumi. Haujawahi kutokea, duniani.
Madamoiselle, Samia kakuibua.Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
Ok za siku ming FAIZA KARIBU SANA HATUJAKUONA KITAMBO TUNASHUKURU KWA MAAANAKweli kabisa sijui, tufahamishe. Mimi nekuwekea uzi wa wazee wa Madrassa hapo wanavyojenga taifa kwa ubunifu wao, wewe je?
Wewe Ustadhati Faiza na Mzee Mohamed Said hapa JF forum nawapongeza sana kwa Propaganda za kidini na kutaka kuligawa Taifa
Naona mmetoka mafichoni sasa mnaanza kuhubiri udini kama kawaida yenu
Ahaaa nilijua tu sasa utakuja kwa kasi baada ya miaka mitano kujificha chini ya utawala wa JPM, Sasa umekuja kueneza Propaganda na itikadi kali za kidini kama kawaida yako
Huu ni mwanzo tu Mama Faiza naona mvua yenyewe tunasubiri
Ni wakati mtaanza tena kushinikiza mahakama ya kadhi kama wakati wa JK
Ni wakati Mama asipokuwa makini Nyaraka kali na za onyo zitaanza kutembezwa toka CCT, Tec na Vatican
Ndio maana JK aliamua kuziba masikio na kusafiri tu kila siku maana nyumbani ilikuwa Wengine Nyaraka Wengine Tunataka Mahakama ya kadhi
Tutashuhudia mengi
I strongly support your comment. Katika kabila la Wahaya kuna msemo unasema "Eibala lita Nyinalyo"! Kwa tafsiri ya kiswahili isiyo rasmi ni "Jina linaua mwenye nalo"! Yaaani kuna uwezekano jina lako likadetermine or predict your future!Mara kadhaa jina limesadifu maisha ya mtu na Kama huamin watafute wakina Shida, tatizo na wengine wenye majina hayo utajifunza kitu au jisomee Haya majina tusiwape newborn (watoto)
mama uliadimika sana. karib mjengoniJina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
AlhamduliLlah nipo salama salmin. Bi Samia Suluhu kaniibua tena.