Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu

Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu

Uarabu ulizaa imani, wakati mwingine ni vigumu sana kuvitenganisha hivyo viwili.
Uarabu si imani. Kusema "Uarabu" ni kama kusema "Uswahili", Uswahili ni imani?

Unajidai kuuponda Uarabu huku unajiita Mstaarabu. Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
 
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.

1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".

2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.

Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.


Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.

Ma Shaa Allah.

Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
Moyo umeshtuka kukuona.
 
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.

1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".

2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.

Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.


Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.

Ma Shaa Allah.

Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.

Kwa kweli hata Wakenya walijua hili..........

1616939999047.png
 
Hassan mbona hujaliletea maana yake?

Kuna mtu mmoja aliwahi Nipa maana ya majina..

Zinedine yazid Zidane...
It was so beautiful ukipewa maana ya majina yote..
Hawawezi kukupa maana hawana maslahi nalo .

Unless Hadi afe ndio utazisikia sifa zake.

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
ahahaha,karibu bibi!
tulikumisije,dah!
karibu uendelee kutufunza Kiswahili!
Muda wakuandika kwa uhuru ndyo umekwisha hivyo,mwenye Kiswahili chake amerudi!
 
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.

1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".

2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.

Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.


Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.

Ma Shaa Allah.

Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
Wewe mkuu ulitulizwa na mikwara ya marehemu nini?Maana ulipotea ghafla
 
Aisee nimefurahi kuona bandiko lako hapa jukwaani karibu sana Faizafoxy tunahitaji kujifunza zaidi kutoka kwako.
 
Wewe Ustadhati Faiza na Mzee Mohamed Said hapa JF forum nawapongeza sana kwa Propaganda za kidini na kutaka kuligawa Taifa

Naona mmetoka mafichoni sasa mnaanza kuhubiri udini kama kawaida yenu

Ahaaa nilijua tu sasa utakuja kwa kasi baada ya miaka mitano kujificha chini ya utawala wa JPM, Sasa umekuja kueneza Propaganda na itikadi kali za kidini kama kawaida yako

Huu ni mwanzo tu Mama Faiza naona mvua yenyewe tunasubiri

Ni wakati mtaanza tena kushinikiza mahakama ya kadhi kama wakati wa JK

Ni wakati Mama asipokuwa makini Nyaraka kali na za onyo zitaanza kutembezwa toka CCT, Tec na Vatican


Ndio maana JK aliamua kuziba masikio na kusafiri tu kila siku maana nyumbani ilikuwa Wengine Nyaraka Wengine Tunataka Mahakama ya kadhi

Tutashuhudia mengi
Acha mambo yako hebu tumkaribishe tena, jukwaa lilimmiss sana huyu Bibie
 
Back
Top Bottom