Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Uarabu ulizaa imani, wakati mwingine ni vigumu sana kuvitenganisha hivyo viwili.
Uarabu si imani. Kusema "Uarabu" ni kama kusema "Uswahili", Uswahili ni imani?
Unajidai kuuponda Uarabu huku unajiita Mstaarabu. Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?