Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu

Madamoiselle, Samia kakuibua.
Karibu tena.
 
Hujui ndio maaana unasema hivyo bas kaaa na hizo maaaana zako
Kweli kabisa sijui, tufahamishe. Mimi nekuwekea uzi wa wazee wa Madrassa hapo wanavyojenga taifa kwa ubunifu wao, wewe je?
 
Kweli kabisa sijui, tufahamishe. Mimi nekuwekea uzi wa wazee wa Madrassa hapo wanavyojenga taifa kwa ubunifu wao, wewe je?
Ok za siku ming FAIZA KARIBU SANA HATUJAKUONA KITAMBO TUNASHUKURU KWA MAAANA
 
Sasa wewe na Faidha nani mdini hapi?

Kaelelzea maana tu ya Jina tayari Povu limejaa kifuani
 
Mara kadhaa jina limesadifu maisha ya mtu na Kama huamin watafute wakina Shida, tatizo na wengine wenye majina hayo utajifunza kitu au jisomee Haya majina tusiwape newborn (watoto)
I strongly support your comment. Katika kabila la Wahaya kuna msemo unasema "Eibala lita Nyinalyo"! Kwa tafsiri ya kiswahili isiyo rasmi ni "Jina linaua mwenye nalo"! Yaaani kuna uwezekano jina lako likadetermine or predict your future!

Hivyo sio sahihi sana kumuita mtoto wako jina kama vile Shida, Taabu, Maskini, Matatizo na mengi kama hayo!
 
Huu mzimu umeibukia wapi? Kwa Jiwe mzimu huu ulipotea kabisa!
 
Kwahiyo suluhisho la umaskini na ufukara wa Watanzania ni kuwapa watoto majina ya kiutajiri?

Mimi siafiki kuwa jina la mtu ndio huleta matokeo ya maisha yake.

Kama Samia atawatendea mema basi ni uamuzi wake tu.

Je, wakevi waliongezeka kipindi cha John Pombe?
 
Welcome back FaizaFoxy Mama Samia Suluhu kama lilivyo jina lake ni Zawadi kwa Watanzania baada ya kipindi kigumu cha mtangulizi wake (Mungu ampumzishe anapostahili).
Lets hope for the Better.
 
mama uliadimika sana. karib mjengoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…