Uarabu si imani. Kusema "Uarabu" ni kama kusema "Uswahili", Uswahili ni imani?
Unajidai kuuponda Uarabu huku unajiita Mstaarabu. Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
Pedagogic at Heart ,Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga.
Moyo umeshtuka kukuona.Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
Hassani maana Yake Mtu mwenye Kuwafanyia wema watu.Hassan mbona hujaliletea maana yake?
Kuna mtu mmoja aliwahi Nipa maana ya majina..
Zinedine yazid Zidane...
It was so beautiful ukipewa maana ya majina yote..
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
We Jamaa mnafiki kinoma..Ana jina zuri sana.
CHADEMA wasahau kabisa habari za kushinda chochote kile.
majaliwa linajieleza na kasim ni katelephone.haha......na majaliwa kasim maana yake ni ipi?
Sawa sawa asalam aleyikumAlhamduliLlah nipo salama salmin. Bi Samia Suluhu kaniibua tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana jina zuri sana.
CHADEMA wasahau kabisa habari za kushinda chochote kile.
Hawawezi kukupa maana hawana maslahi nalo .Hassan mbona hujaliletea maana yake?
Kuna mtu mmoja aliwahi Nipa maana ya majina..
Zinedine yazid Zidane...
It was so beautiful ukipewa maana ya majina yote..
Wewe mkuu ulitulizwa na mikwara ya marehemu nini?Maana ulipotea ghaflaJina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu.
1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye kumhimidi".
2) Suluhu: Ingawa neno hili linatokana na neno la Kiarabu "Sulh" lakini Kiswahili tunalitumia sana, suluhu kwa maana ya kukubaliana yaishe kwa amani na si kwa ugomvi.
Mfanya Suluhu mara nyingi huwa ni anaeheshimika na pande zote mbili, msikivu, mwenye hekima na asiependelea.
Tutegemee mema sana kutoka Kwa bi Samia Suluhu.
Ma Shaa Allah.
Ndugu yetu kaongezea maana ya jina la tatu: Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu.
Tanzania yapata Suluhu baada ya Pombe ππππππ
KabisaTanzania yapata Suluhu baada ya Pombe ππππππ
Acha mambo yako hebu tumkaribishe tena, jukwaa lilimmiss sana huyu BibieWewe Ustadhati Faiza na Mzee Mohamed Said hapa JF forum nawapongeza sana kwa Propaganda za kidini na kutaka kuligawa Taifa
Naona mmetoka mafichoni sasa mnaanza kuhubiri udini kama kawaida yenu
Ahaaa nilijua tu sasa utakuja kwa kasi baada ya miaka mitano kujificha chini ya utawala wa JPM, Sasa umekuja kueneza Propaganda na itikadi kali za kidini kama kawaida yako
Huu ni mwanzo tu Mama Faiza naona mvua yenyewe tunasubiri
Ni wakati mtaanza tena kushinikiza mahakama ya kadhi kama wakati wa JK
Ni wakati Mama asipokuwa makini Nyaraka kali na za onyo zitaanza kutembezwa toka CCT, Tec na Vatican
Ndio maana JK aliamua kuziba masikio na kusafiri tu kila siku maana nyumbani ilikuwa Wengine Nyaraka Wengine Tunataka Mahakama ya kadhi
Tutashuhudia mengi