Hawa single maza watamu sana kuwagegeda ila sio kuweka kambi.
Katika kugegeda kwangu ni single mother ndie alinipa raha sitosahau
Mwanaume mmoja akaacha shughuli zake kisha eti akakalisha 'makaghare' chini, akaanza kuandika mambo yasiyo muhusu, mbaya zaidi ni kuhusu wanawake..!!
Tunaomba na ushauri kuhusu single faza maana Uzi za humu kutwa kuwaponda dada zetu
Mkuu kuna jambo baya lilikupata kwa Single mother?
Kuna haja gani ya kuendesha kampeni kwa kuwalaumu hawa wadada na mama zetu.
Mbona kama hili jambo lipo "personal" sana?
Yaani unajua tabia za wanawake wote "Single mothers"?
embu muulize, yeye ni bikira?Nimeacha kusoma pale tu ulipoandika kuwashauri watoto wenzako waoe "wenye bikra".
Bikra anaonekana machoni? Wakati unamtafuta huyo bikra, wewe ni bikra?
Single mother waliofiwa na mabwana poa, ila wengine ni shida. Kilichomfanye awe single ni shida inayojitosheleza