Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kizazi Sana [emoji817][emoji109][emoji110][emoji106]
 
Kizazi Sana [emoji817][emoji109][emoji110][emoji106]

Mambo ya walawi 21
7Kwa kuwa kuhani amewekwa wakfu kwa Mungu wake, kamwe asioe kahaba, wala mwanamke asiye bikira wala aliyepewa talaka.
 
1.Waarabu waliobuni kumfungia mwananke ndani na kufanya shughuli zote za shoping na kuleta ndani hawakukosea walifanya tafiti nyingi kuhusu tabia za mwanamke zinavyoweza kubadilika gafla kutokana na marafiki na ushawishi mbalimbali

2.Wazee wa zamani waliokuwa wanawafunda vijana kuwa ukitaka kuoa rudi vijijini kwenu ulikozaliwa uoe mwanamke mnaoendana kimila, kiimani na mkidulia mwaweza kurudi vijijini na kuendeleza maisha lakini ninyi unataka msomi ,mwenye hela, anayetumia muda wake mwingi kuuremba Mwili wake, uliyemlokoteza kazini kwenye bar au club kwenye mastarehe

4.Vikoba,vikundi ni hatari kwa ndoa unakuta lidume linajisifu vikundi vya mke wangu vinanisaidia sana weweee!!!!!
 

Vijana wa siku hizi ni kichwa box hawawezi kukuelewa, wanajifanya wajuaji wakifika mbele kidogo wakajikwaaa wanapiga makelele
 
For sure waarabu waliona mbali ...Akili ya mwanamke bila usimamizi .. inaweza kufanya maamuzi ya hovyo sana
 
Mke mwema anatoka kwa Mungu, na kamwe Mungu hawezi kukupa mwanamke asiye na Bikra. Huyo mungu atakuwa mungu wa matope.

Nianze kuwasoma wakati nimeshahitimu na kuoa nimeshaoa?

Na Mungu huwa anakupa wa kufanana naweπŸ™ Kuoa sio mwisho wa kuwasoma maana hata huyo mkeo anaweza kuku suprised.
 
Na Mungu huwa anakupa wa kufanana naweπŸ™ Kuoa sio mwisho wa kuwasoma maana hata huyo mkeo anaweza kuku suprised.

Akinisapraizi talaka si zipo? Ataolewa mwingine bikra kama alivyokuwa yeye,
 
Yamekuwa haya tena. Wonders will never end.

Kwani sheria inasemaje kuhusu mwanamke malaya?

Mwanaume timamu hawezi ishi na mwanamke malaya.
Ukianza umalaya unafukuzwa na wanaume wenye akili timamu bila kujali lolote.

Alafu anaolewa mwingine bikra safi kabisa.
 
Kwani sheria inasemaje kuhusu mwanamke malaya?

Mwanaume timamu hawezi ishi na mwanamke malaya.
Ukianza umalaya unafukuzwa na wanaume wenye akili timamu bila kujali lolote.

Alafu anaolewa mwingine bikra safi kabisa.

Endelea kukua.
 
Bikira is overrated
 
Wewe endelea kuzeeka, maana ukizeeka na akili inazeeka.

Sasa umenielewa kwamba changamoto haziishi.

Youngest always differentiate or reverse by integration. No frexibility

Maturity through integrity will resolve solutions through differential equations with two unknown limits

Yote nimaisha.....
 
Sasa umenielewa kwamba changamoto haziishi.

Youngest always differentiate or reverse by integration. No frexibility

Maturity through integrity will resolve solutions through differential equations with two unknown limits

Yote nimaisha.....

Kwani nilisema changamoto zinaisha?
 
Mleta uzi umejianda kujibu shit tofauti sana na uzi wako
Na una hisia kali kinoma

Pia ni vizuri ukioa bikra uwe na huo usafi wa nafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…