Si mpk niwapate hao bintiNdio ukiolewa uwafunze binti zako adabu, wasiwe kama mama yao aliyekuwa kicheche
Ni nani hata amekwambia kwamba hao Wanawake uliowataja wanapenda au lengo lao maishani mwao ni kuolewa? Kuna watu wameridhika na maisha yao jinsi yalivyo kama wewe labda ulivyoridhika na yako, waache watu wawe jinsi wanavyotaka kuwa, wewe weka hiyo bikira na subiri Mwanamke/Mwanaume ambaye mtafanana yaani wote bikra muoane muwe na furaha kama wengine walivyo na furaha kuishi bila bikira na siyo ishu kwao!
Mtoto wako wa kike akikua utaelewa maana ya kuolewa. Usichukulie Powa.
Hakuna yai hata moja [emoji30] [emoji30] yaani bila bila dadekiHapo sasa, inaonekana umezalia home.. 😉😉😉😉😉
..ni ujinga kwa mwanaume kutaka kuoa.mwanamke bikra haliyakuwa ww si bikra na bikra yako imetoka kwa kutoa bikra za mabint WA watu...
In this life u get what you deserve, stay cool..
Unafanya kosa kubwa sana kuwasemea watu kwa kuamini kwamba Binadamu wote tunazaliwa sawa, kama ingekuwa ni hivyo labda nikuulize kwa nini kuna watu wanaweza kuosha maiti wakati wengine hata kuisogelea hawawezi? Au kwa nini kuna watu wanaweza kuhutubia maelfu ya watu wakati wengine hawaezi kuongea mbele ya kadamnasi?
Kuna tofauti kubwa kati ya kazi na ndoa. Kuna tofauti kubwa kati ya karama/kipaji na ndoa. Ndoa ni zaidi ya vyote hivyo. Ni moja ya kanuni za uumbaji. Wewe unazungumzia kazi na vipaji. Ndoa ilikuwepo kabla ya kazi, vipaji, pesa, n.k. Usiichukulie Poa. Ndoa ni pepo ndogo na hapo hapo ni Jehanam ndogo. Ndoa ni zaid ya uijuavyo. Ndio maana Shetani anawekeza huko kuliko sehemu yoyote ile.
Ndio Rehma zenyewe au sio.?[emoji38][emoji38] j2 yenye neema.Usilie Mrembo, nakuja Pm kukupa bembelezo
Povu lenyewe hiloMtoto wako wa kike akikua utaelewa maana ya kuolewa. Usichukulie Powa.
..ni ujinga kwa mwanaume kutaka kuoa.mwanamke bikra haliyakuwa ww si bikra na bikra yako imetoka kwa kutoa bikra za mabint WA watu...
In this life u get what you deserve, stay cool..
..ni ujinga kwa mwanaume kutaka kuoa.mwanamke bikra haliyakuwa ww si bikra na bikra yako imetoka kwa kutoa bikra za mabint WA watu...
In this life u get what you deserve, stay cool..
Umepigilia msumari wa moto [emoji23][emoji23] andaa nguo za kufulia. povu linakuja la bureeeeword