Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Mungu anasema watendee wema wazazi wawili....Na usimwabie Hata aaah...Wapi nimesema dhambi ni umalaya tuu?
Watoto wangu wapo huru kukemea uovu hata kama Baba yao nimefanya, mimi sio Mungu hata nisikosee. Ndio maana nikasema, huko ushetanini ndio mzazi anakosea lakini kwa Mungu mzazi anakosea na anaweza ambiwa tuu.
Ukosee usiambiwe wewe ni nani bhana, kisa kuzaa au? Au kubeba mimba hiyo miezi tisa tuu? Embu acheni kujifanya miungu watu.
Ukitaka usisemwe jitahidi usikosee, sio ukosee alafu hutaki kuambiwa kisa umama sijui ubaba upuuzi mtupuu!
Baba ni Mungu pekee tuu. Sisi wengine ni viumbe, kuzaa ndio kukubadilishe
Sasa huo ujasiri wakusimama na kuimita Mama yako mAlaya...unautoa wapi..
wanavyosema waheshimu wazazi Ina Maana hawakoseo..wanakosea Ila Kuna lugha ya kuongea na mzazi...
Mama hili Swala SI sawa...LAKINI ukikwambia WEWE NI KAHABA...ndo maana umetuzaa kila.mtoto na babayake..
Unakuwa UNAKOSEA...TENA SANA