Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra


Msumari kwa jeneza!
 

Sawa mpenzi mtazamaji naona umekutana pwaaah!pwapwaaaah!
 
Jokajeusi unapanick mkuu, mada umeiwadilisha vizuri kisomi zaidi na mpangilio mzuri wa hoja matata ila hizi reply zako daah zinashusha hadhi ya nondo zako na kuonekana mtu wa hovyo kuwahi kutokea JF
 
Kabisa mkuu. Mwanamke aliyeolewa bikra ana heshima sana. Hana drama za kipuuzi.
kwenye bible kuna jamaa wanamuita Daudi alitembea na mke wa mwanajeshi wake tena had kuzaa nae, je unais huyo mwanamke aliolewa bila bikra?

Tatzo sio bikra tatzo lipo kwa mtu mwenye hyo bikra. Wanawake uwez waelewa kirahis hvyo kwa kigezo cha bikra tu

Ndoa ni zaidi ya bikra
 
Waheshimu baba na mama upate kheri duniani kumuita mama yako malaya uko ni kumshushia heshima mkuu kisa kutetea bikra tu JF daaah
 
Wewe endelea kujimwambafai na soulmate

Wakati umeshindwa kumpiga paipu huyo binti kwa uduanzi wako na jinsi ulivyozubaa

Alafu acha na mke wa mtu, au unasubiri mwenye mke akukamate ndio uchague atumie mate au mafuta
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila bikra umeikosa boss, na hautokuja kujua utamu wa kutoa bikra binafsi nazivunja tu ila sioi nawasaidia kuwaondolea vizuizi ni moja ya project zangu.

Ila nikuambie tu kitu , hata mume wake akimkuta unamkunja home ukidhani atamuacha mke wake ? Jibu ni NO!! Huyo mwanamke atabaki kuwa loyal kwa mume wake pekeee.

Kilichofanya akupe pauchi kwanza ni guilty aliyokuwa nayo miaka yote na pia mazoea ila si mapenzi so mkuu ,umekula alipovunja mwanaume .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…