Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

1-wanaoonyesha maximum care kwa used ni wajinga/malimbukeni or hajapata bikra

2-tunaofunguka hapa ikiwemo Mimi si wadogo Wa kiumri na kipato (japo sio wote) kama unavyojaribu ku portray,
Na FYI , core desires z a wanaume hazibadiliki kwa age wala rank ya maisha ,hence ukweli utabaki ukweli kwa kibabu hata cha miaka 80+ ni furaha kuwa na bikra kubali au kataaa ,na ndo maana hata leo mzazi ajiua bint yake ni bikra anajisikia ufahari

Hayo yote unayasema ya kupenda makombo ni vile,hakuna bikra basi mengine ni kujifariji tu,
 
Sasa naoa mimi au anaoa mtu

Mimi ndo ntakaeishi naye huyo mwanamke, kifupi kuoa mwanamke used hakunipi Amani ya Moyo (inanipa kinyaa flani )

Sasa nioe sifa Nzur afu sina feelings hapo vipi mzee
 
Kwa kifup ili nioe

Lazima mwanamke awe na sifa nizitakazo(sio lazima ziwe zote coz sioi malaika)+ BIKRA
Bila hivo no thank you
 

Nilideclare kuwa nilichosema ni fikra zangu, zinaweza kuwa kweli ama uongo. Uzuri mimi si mnafiki siwezi sema nyeupe penye nyeusi.

Shida ipo kwenu kuona wengine ni wajinga ikiwa tu walioa si bikra na wanawapenda na kuwa care hehe, Je mkuu unafahamu kuwa kwa wewe kusema ni wajinga haiwafanyi kuwa wajinga kweli? Ujinga wao unabaki katika mtazamo wako? Unafahamu? Ingeletwa maana sahihi ya mjinga tungeweza kupima ujinga wao. Or else.......

FYI core desire za wanaume?? ikiwa tu wewe ni msemaji wa wanaume wote na wamekutuma useme hivyo! Mimi pia sio msemaji wao ndio maana argument zangu zinaegamia pande zote mbili, ikiwa ninyi mnaona point A tu najaribu kuwaonesha point B, kama kuna A na B na vyote vinapatikana katika duara moja huoni kuwa wewe upo sahihi na wao pia? Je unaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…