Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Akina umber luty piga keleleeeeee
 
Hii mada inadhalilisha dada zetu. Nina dadangu kwa jinsi walivyomkunjana wanaume huwa nahisi huruma sana kwa mumeo aliyemuoa , wakati mwingine nawaza niwashauri wazazi tumrudishie mali zake alizotoa, lakini nashindwa
 
..ni ujinga kwa mwanaume kutaka kuoa.mwanamke bikra haliyakuwa ww si bikra na bikra yako imetoka kwa kutoa bikra za mabint WA watu...

In this life u get what you deserve, stay cool..
Acha kupotosha watu! Hivi wewe huoni mwanamke anaetoka nje ya ndoa anaitwa Malaya lakini mwanamme haitwi
 
kwelii kabisa mkuu, wanakero sana
Sahihi kabisa mimi nimeshakutana nao wengi tu wanataka kujua ladha nyingine ikoje waone tofauti iko wap binafs sihitaji bikra atanisumbua mpaka aje kutulia
 
Fact
 
Hapa mimi ndiyo namshangaa yule jamaa aliyejitoa muhang kumchukua Wema, kwa kweli anasikitisha. Hivi Mshana Jr kuna uwezekano wa kumuombea mtu kupitia njia ya mtandao akapevuka au kuhamka hata kama kalishwa dawa pori/miduduwasha ya kina Mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…