Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Umechambua vizuri japo nimesoma subtitles tu.
Kuna chance kubwa ya ndoa kudumu kwa aliyeolewa bikra kuliko aliyekwisha chakatwa vya kutosha.
Unanikumbusha shemeji yangu mdogo alioa bikra basi akatangazia kila mtu alichokuja mfanya huyo mwanamke familia mpk leo imebaki na kidonda. Shemeji yangu ali divorce huyo bikra kaamua kuoa mjane mwenye mtoto mmoja so far wako vizuri ni Mwaka wao wa 12 wa ndoa. Ilankwa bikra walikaa miaka mitano. Siku zote huwa nawaambia vijana wangu usisikie story za vijiweni na tabia za wanawakr huwa hazina formula. Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana anaweza danganyika na kitu kidogo sana mpk is hangar. Shida ya vijana wetu wamekaririshwa uongo mwingi sana.
 

Ni moja ya mia.
Lakini oa asiye na bikta utapata uwiano wa mia kwa mmoja
 
Sasa umeandika nini? Mimi kama kaka yako siwezi kukupuuzia na kukudharau. Lakini kwa uandishi wako unastahili kudharauliwa. Mimi nitakufunza kuandika, kuhusu tabia nimewaachia waliokuzaa
Naandika utoko mzee kwani huoni
 
Nimekumbuka miaka kadhaa iliyopita kuna bikra moja niliikosakosa kuichakata.

Kila nikitaka kuichakata yule mshenzi analeta excuses za kifala.

My take madem bikra wana ka heshima fulani. Simaanishi wengine hawana heshima

Brodah!

Mbona unaficha ficha?hakuna mwanamke asiye na bikra {labda ya kutolewa kwa kubakwa} mwenye tabia na heshima nzuri tunapumbaza kizazi ongea wazi wazi wajue na waache.

Mwanamke asiyekuwa na bikra ni dampo la soko au choo cha stand kama anavyosisitiza mkuu huko juu that's it anayetaka akubali asiyetaka aache.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Jipya ni lipi ebu litaje [emoji38][emoji38] bikra haina upya

Toka enzi za manabii

Jipya kwa limbukeni kama ww

Jipya umelitoa wewe, umevunja rekodi kutoa jambo jipya. Ati hakuna umuhimu wa bikra? Hahhahah
 
Yaani hata mi natamani sana wanaume wote wangeutunza uanaume wao kwa ajili ya wake zao..ndoa zote zingekuwa za mabikira na zingekuwa tamu sana wallah
La Princesa uko sawa sana,ila mwanaume anayejitambua akishakutana na mke mwenye heshima ya bikra atatulia vizuri tu maana anakuwa mashaka hana tena.

Kingine hata mwanaume akikwambia ni bikra utamjuaje hata umuamini?hili limelala sana kwenu dada zetu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nilibahati kupata mwanamke akiwa form 6 bikra tukapenda na nikaitoa (nikikumbuka nacheka sana) alinipenda sana nilimpenda alifikia hatua ya kugombana na mama ake sababu yangu baada ya miaka 3 mbele akiwa UDOM nilishindwa kuvumilia kumsubiri nikamsaliti akaambiwa na wananchi alivyorudi mpaka leo hajawahi kuongea na mimi wala ukaribu, NB stori haina uhusiano na mada nimeiweka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe uchafu unatoka kwenye choo cha ndani anachotumia mtu1?!

Basi sawa, kwani wanaume hatujui kuwa nyie vyoo vya halaiki ni uchafu? Wanajua sema, wanajua bila wao kuja kutupa taka zao ninyi mtaishije mjini?
 
Toka ulipoanza wewe.

Leo watu wanathibitisha maneno yangu kupitia maoni yako. Twende kazi
Watu wenyewe hawa wavulana akili mmezikali mkalioni

Hamna anae think out of the box

Napoteza energy kubishana na kijana aliegandisha akili yake na super glue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…