Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kutafuta taste ni tabia za mwanamke malaya, Mimi ninasema jambo nililolifanyia utafiti, wewe unaongea kujifariji humu.
Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
 
Hapo uko safe atleast jitahidi kuepuka migogoro tu


Mkuu, naweza onekana labda nawasema vibaya watu fulani, lakini huo ndio ukweli. Ukitaka usalama kwa asilimia 90 ndani ya ndoa oa mwanamke bikra. Kwa maslahi yako na watoto.

Kuna tofauti kubwa baina ya mwanamke aliyeolewa na bikra akizaa mtoto wa kike na tabia za mtoto wake katika malezi.
Lakini mwanamke malaya huzaa vitoto malaya, utahangaika sana kupigishana kelele na mama yao, vitoto vikikua na kutoa chuchu unaanza navyo kuhangaika navyo, watoto wa kike hurithi tabia za mama zao.

Huniamini acha, sio lazima.
 
Hahahah sawa bloo
 
Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra


Nashukuru sana kwa kudhihirisha mindset ya wasio na bikra. Wanaume mmeona wenyewe. Hivi ndivyo wanawake wasi na bikra kwa 90% hufikiri. Ogopa mwanamke malaya ndani ya ndoa. Mwanamke malaya matumizi yake ni kumla na kumpa pesa ya huduma. Lakini sio ndoa na akuzalie watoto. Lazima akuharibie kizazi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya mkuu...!! Sema haya mambo haya formula unakuta bikra kama hajielewi anapata marafiki wa ovyoo wanamjaza upepo aonjee kitu mpyaaa


Ndio maana nikaweka percentage hapo juu. Sijasema bikra wote.

Kuna comment ya Cariha hapo juu isome utaelewa wasio na bikra wanafikiriaje vichwani mwao
 
Kila mtu achague akitakacho, ila ukitaka kufa mapema oa mwanamke mwenye mtazamo kama Cariha ambao malaya wengi wanao. Anakuambia kazi ya K ni kusuguliwa, amesahau kuwa inapaswa isuguliwe na mtu mmoja.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€mkuu umeua aisee.
 
Okay wazee wa bikra!

Ila Mimi ninachoamini 'used' au 'mtumba' ndiyo kinadumu.

Vyovyote utakavyoamini.

Lakini nakuhakikishia ogopa kuoa mwanamke malaya, mwenye mtazamo kama Cariha hapo juu. Yeye atakupasua kichwa kwa umalaya wake kama mbwa. Kisha atawafundisha watoto wako umalaya. Ndivyo inavyokuwa, embu soma comment ya Cariha hapo juu, katoa mfano rahisi humu jamvini, kuwa hata mwanaye atamshauri atoe bikra(awe malaya pengine kama yeye) kuliko amsubiri mwanaume atakayemuoa
 
Tumuache kwanza, naona ulanzi wa mahaba umemkaa pazuri. Cha kumsihi tu ahakikishe hamuachi mkewe popote aendapo kikazi esp. uhamisho wa kimkoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata elimu zenu hazijawasaidia hata kung'amua mambo haya kwa kina, mmesoma kukariri, mwanamke kutoka nje ya mahusiano either ya uchumba au ndoa hio ni tabia yake ambayo ina mizizi pengine katika ukoo au kifamilia, hivyo ni lazima kuvunja hio curse, kuna mambo mengi kiroho hua yanafanyika watu hamjui ila sababu mpo mpo tu kama mizigo mnakaririshwa na wataalam wa mahusiano mnaona kua ni sawa tu mnaona kama procedure fulani ya maisha mnawaza tu hapa hapa hamfikirii beyond

wewe mwanamke umekojolewa na wanaume zaidi ya 20, hio ina mana una maroho ya kifamilia zaidi ya 20 unatakiwa ku deal nayo, humo kwenye maroho kuna wazinzi, malaya, gold diggers, unaolewa yale maroho unaenda nayo kwa mumeo, mumeo anayachukua maroho hayo, hivyo ngoma droo, na kama hana kinga yoyote kiroho na yeye anakua malaya, wewe naye unakua malaya, mnadhani mtaishi muda mrefu?
 

Sio kweli.

Labda ujali hamu zako, lakini ukishazingatia maslahi ya kizazi chako, ati watoto wako wapitie kwenye K iliyomwagiwa mikojo ya kila aina ya wanaume, vibabu, mateja, wahuni, maboss n.k ati ndio mwanao naye apite humo. Hakika utakuwa haupo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…