Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Sijaona tatizo

Ili ujuwe tatizo katumie hilo neno mstikini kwa sauti kubwa kila muuumini akusikie utavuna matatizo na hapo utajuwa ushenzi wa mtunzi.

Utafahamu maana halisi ya ukali wa hilo neno

Uking'olewa meno.... Utafute sababu. Usisahsu kurudisha mrejesho hapa jukwaani.
 
Kama umejitahidi kuwa msomaji mzuri wa Biblia (sio msikilizaji mzuri wa mchungaji); kitu hiki kisingekusumbua.
Uki-summarize message kubwa ya Yesu Kristo katika vitabu vyote vya injili, utaona msisitizo wake katika utoaji hukumu. Reference: watu alioketi nao, na aliowachagua.
Message hiyo, inapotezewa, wakati ni msingi mkubwa wa matendo yote aliyokuwa akiyafanya wakati wa kazi yake.

Kwa lugha nyepesi, kwa sentesi moja, Yesu ali-address kitu hiki: Usihukumu. Haya mambo hayakuhusu ya wewe kutoa hukumu. Tangaza jina la Bwana. Okoa nafsi yako, kwa maana siku inakuja ambayo kila mmoja atasimama peke mbele ya Baba.
So, achana na ya watu, wakati una mti katika mboni ya macho yako.
 
Diamond kudharau dini ya wengine amezingua sana, kwa nini asingeiita jina la dini yake??!! Tuone kama mashekhe wangemwacha salama
 
How does this affects the society expecially our kids? Will they believe and bear respect if other fools plays the same scenario in miserable way?

Are we serious with whatever we repect and glorify?
Nimeichukulia kwamba wasio na imani wanaoweza kutumia maneno ambayo kwa wenye imani yanamaana. Nakiri sikufikiria athari kwa watoto wa wenye Imani.
 
Jambo la muhimu afanye kazi yake akiheshimu imani za wapenzi wake na mashibi wote bila kuingiza ushetani na kufur dina za upande usiomhusu.

Asifanye kazi kwa kadhalilisha na kudhoofisha imani isiyo yake.

Aachane kabisa na upumbavu huu.
Kama umejitahidi kuwa msomaji mzuri wa Biblia (sio msikilizaji mzuri wa mchungaji); kitu hiki kisingekusumbua.
Uki-summarize message kubwa ya Yesu Kristo katika vitabu vyote vya injili, utaona msisitizo wake katika utoaji hukumu. Reference: watu alioketi nao, na aliowachagua.
Message hiyo, inapotezewa, wakati ni msingi mkubwa wa matendo yote aliyokuwa akiyafanya wakati wa kazi yake.

Kwa lugha nyepesi, kwa sentesi moja, Yesu ali-address kitu hiki: Usihukumu. Haya mambo hayakuhusu ya wewe kutoa hukumu. Tangaza jina la Bwana. Okoa nafsi yako, kwa maana siku inakuja ambayo kila mmoja atasimama peke mbele ya Baba.
So, achana na ya watu, wakati una mti katika mboni ya macho yako.

Don't be naive man

Yesu ndiye aliewatwanga makonde waliogeuza sehemu ya ibada sokoni.....Msigeuze nyumba ya baba yangu pango la wezi na wanyang'anyi

Ili jamii na watoto wetu wa heshimu imani yetu dhahili dharau haipaswi kuchekewa.
 
Jina hilo kama ni neno alikosa neno tofauti na hilo?

Mbona hakutumia neno linaloendana/similar na la dini yake?
Hilo ni neno la kihebrenia lenye maana ya Mungu atukuzwe! Kwa hiyo muhebrew yeyote awe mpagani, muislamu, mkristo, nk akitaka kusema Mungu atukuzwe atasema hilo neno, nilichoona wabongo wengi tunaabudu hizi dini 2 mbili bila kuzielewa
 
Huu wimbo waktisto wanataka kuupa kick na kumuohezea viewers jamaa maana hata kama MTU hafatiliagi wimbo wa jamaa itabidi autafute ili ajiridhirishe...
 
Ifike mahala kila mmoja wetu aheshim dini ya mwingine upumbavu wa ku-cross mstari unaacha dini yako unafanyia mzaha dini za wengine nikukosa hekima,
kukosa adabu na
kudhalilisha imani ya wenzako.

Kwanini kaamua kuparamia dini isiyomhusu?

Acha ujuha wewe mbona busta rymes aliimba arab money na hakuna mtu aliyepiga kelele maana upuuzi wake watu waliupuuza? Sasa iweje ww utoe povu?
 
Acha ujuha wewe mbona busta rymes aliimba arab money na hakuna mtu aliyepiga kelele maana upuuzi wake watu waliupuuza? Sasa iweje ww utoe povu?

Hujuwi unalonena

Mwambie mbwa wako arudi kwenye muziki wake hakuna atakaemuuliza wala kuhoji

Na asingie kabisa kwenye imani zetu au la ajishughulishe na tungo zinazohusu dini yake si vinginevo.
 
Hilo ni neno la kihebrenia lenye maana ya Mungu atukuzwe! Kwa hiyo muhebrew yeyote awe mpagani, muislamu, mkristo, nk akitaka kusema Mungu atukuzwe atasema hilo neno, nilichoona wabongo wengi tunaabudu hizi dini 2 mbili bila kuzielewa

Nenda msikitini ukaseme hilo neno ukikubalika rudisha majibu hapa
 
Hujuwi unalonena

Mwambie mbwa wako arudi kwenye muziki wake hakuna atakaemuuliza wala kuhoji

Na asingie kabisa kwenye imani zetu au la ajishughulishe na tungo zinazohusu dini yake si vinginevo.

Kwenda wewe ni wapi palipoandikwa kuwa ukristo ni dini?
 
Kwenda wewe ni wapi palipoandikwa kuwa ukristo ni dini?

Kaanzishe hiyo mada uniite

Hapa ujumbe mwambie ajishughulishe na dini yake. Akishindwa arudishe majembe kwenye asili ya tungo zake.
 
Kaanzishe hiyo mada uniite

Hapa ujumbe mwambie mbwa wako ajishughulishe na dini yake. Akishindwa arudishe majembe kwenye asili ya tungo zake.

Ndio dini hiyo inakuruhusu kuita binadam mwenzio mbwa, alafu nyie wagalitia si mnasemaga vita yenu ni ya kiroho vp safar hii mgalatia unatoa povu? Wewe huna dini wala nini kama unayo itaje
 
Ndio dini hiyo inakuruhusu kuita binadam mwenzio mbwa, alafu nyie wagalitia si mnasemaga vita yenu ni ya kiroho vp safar hii mgalatia unatoa povu? Wewe huna dini wala nini kama unayo itaje

Kama hujuwi Yesu alimwita....
nakuhurumia kwasababu hujuwi
 
Sasa kama mtu amepewa mwanamke mzuri na anaempenda, kuna kosa akitoa utukufu kwa bwana?

Anatoa sifa katika mazingira ya dhihaka? Uchi na paspo na staha

Nenda msikitini bila kutawaza na ukaswali bila kufuata procedures.... Utapata kufundwa kama sio kufunzwa kwa bakora
 
Back
Top Bottom