stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Wakristo sisi wapole sana! We jaribu hata kupita na kitoto cha nguruwe maeneo yao[emoji3]Nenda msikitini ukaseme hiko neno japo mara tatu utuletee mrejesho wa maana yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo sisi wapole sana! We jaribu hata kupita na kitoto cha nguruwe maeneo yao[emoji3]Nenda msikitini ukaseme hiko neno japo mara tatu utuletee mrejesho wa maana yake.
Wakristo sisi wapole sana! We jaribu hata kupita na kitoto cha nguruwe maeneo yao[emoji3]
Hiyo maana ni lugha gani? Tatizo kubwa la kujifanya unajua diniHajasema haleluya.
Pia haleluya Ni neno lenye maana ya kristu amefufuka
Leo nimeamini hizi dini tunazifuata kwa mapokeo tu, hatujui vitu vingi! hallelujah ni wimbo smhHalelujah ni wimbo namba moja unaomtukuza Mungu. Unaipoimbwa unaimbwa kwa heshima ya hali ya juu.
Dah uhuru bila mipaka ni fujo.
Nenda msikitini ukaseme hiko neno japo mara tatu utuletee mrejesho wa maana yake.
Take it as a word not for its meaning from a person who has no faith..."sio kila atakayeniita bwana bwana ni wangu"Ifike mahala kila mmoja wetu aheshim dini ya mwingine upumbavu wa ku-cross mstari unaacha dini yako unafanyia mzaha dini za wengine nikukosa hekima,
kukosa adabu na
kudhalilisha imani ya wenzako.
Kwanini kaamua kuparamia dini isiyomhusu?
Leo nimeamini hizi dini tunazifuata kwa mapokeo tu, hatujui vitu vingi! hallelujah ni wimbo smh
Huwezi kucontrol hicho kitu mkuu maana hata devil worshipers wanatumia misalaba na alama nyingine za kidini, ni wewe tu kutambua kipi halali na kipi si halali. Ukitambua hilo haitakusumbua..Jamii na watoto wetu wataheshimu vipi mipaka na utukufu wa maneno tuyatumiayo endapo akina diamondi wanayafanyia mzahaha?
Take it as a word not for its meaning from a person who has no faith..."sio kila atakayeniita bwana bwana ni wangu"