Maandalizi ya kufungiwa adsl internet elf 25 kwa mwezi bila kikomo, niagize router kutoka nje ?

Maandalizi ya kufungiwa adsl internet elf 25 kwa mwezi bila kikomo, niagize router kutoka nje ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
nilienda ttcl kuwaomba wanifungie internet ya kwenye zile nyaya za simu ili nipunguze gharama za hivi vifurushi ghali, kuna dogo namjua tangu 2020 yeye anatumia hii huduma hajawahi kuwa na habari na hivi vifurushi ambavyo sisi tunalalamika.

fundi aliniambia eneo langu huduma ipo ila vifaa kama router vimeisha inabidi nisubiri mwezi ujao, ila aliniambia nikiweza kupata vifaa atakuja kuniwekea ..

nimepanga niagize router kutoka nje, huwa naagiza mizigo yangu kupitia ali express na ebay na nimeona hivi vifaa, je vitafaa ??

1664384734907.png



1664385075596.png
 
nilienda ttcl kuwaomba wanifungie internet ya kwenye zile nyaya za simu ili nipunguze gharama za hivi vifurushi ghali, kuna dogo namjua tangu 2020 yeye anatumia hii huduma hajawahi kuwa na habari na hivi vifurushi ambavyo sisi tunalalamika.

fundi aliniambia eneo langu huduma ipo ila vifaa kama router vimeisha inabidi nisubiri mwezi ujao, ila aliniambia nikiweza kupata vifaa atakuja kuniwekea ..

nimepanga niagize router kutoka nje, huwa naagiza mizigo yangu kupitia ali express na ebay na nimeona hivi vifaa, je vitafaa ??

View attachment 2370951


View attachment 2370955
''Ila aliniambia nikiweza kupata vifaa atakuja kuniwekea''...nakushauri umtumie yeye na kumuuliza kama hivyo ulivyoviona vinafaa ama la?
 
nilienda ttcl kuwaomba wanifungie internet ya kwenye zile nyaya za simu ili nipunguze gharama za hivi vifurushi ghali, kuna dogo namjua tangu 2020 yeye anatumia hii huduma hajawahi kuwa na habari na hivi vifurushi ambavyo sisi tunalalamika.

fundi aliniambia eneo langu huduma ipo ila vifaa kama router vimeisha inabidi nisubiri mwezi ujao, ila aliniambia nikiweza kupata vifaa atakuja kuniwekea ..

nimepanga niagize router kutoka nje, huwa naagiza mizigo yangu kupitia ali express na ebay na nimeona hivi vifaa, je vitafaa ??

View attachment 2370951


View attachment 2370955
Router kibongo bongo zipo mpya naziona kupatana na jiji 120k ina maana madukani chini ya hapo used as cheap as 5000 kama unajiamini zimejaa uhuru pale. Pia ukiongea nao hao mafundi wa TTCL wanaweza kukushauri zaidi.

Kama unachukua online jilipue na router nzuri ambayo inasuport fiber na tech za kisasa kama wifi 5/6 ili iwe future proof, tunapoenda adsl itakuwa replaced na fiber.

Pia TTCL wanatumia adsl2+ ambayo bandwidth yake ni 24mbps kama unanunua online make sure ina hii support.
 
Router kibongo bongo zipo mpya naziona kupatana na jiji 120k ina maana madukani chini ya hapo used as cheap as 5000 kama unajiamini zimejaa uhuru pale. Pia ukiongea nao hao mafundi wa TTCL wanaweza kukushauri zaidi.

Kama unachukua online jilipue na router nzuri ambayo inasuport fiber na tech za kisasa kama wifi 5/6 ili iwe future proof, tunapoenda adsl itakuwa replaced na fiber.

Pia TTCL wanatumia adsl2+ ambayo bandwidth yake ni 24mbps kama unanunua online make sure ina hii support.
Mkuu naomba unisaidie kunishauri router yenye hivyo vigezo ili niweze kuagiza ama kununua kama itakuwepo, hapo mbele nina mpango wa kubadili iwe fiber maana nitahamia mji wenye fiber
 
Mkuu naomba unisaidie kunishauri router yenye hivyo vigezo ili niweze kuagiza ama kununua kama itakuwepo, hapo mbele nina mpango wa kubadili iwe fiber maana nitahamia mji wenye fiber
Vigezo ni hivi mkuu
1. Iwe na adsl2+
2. Kwenye zile port za lan kuwe na wan (zipo router zenye lan unaweza configure wan lakini kama huna uelewa make sure ina wan ili kupunguza stress)
2. Iwe na wireless dual band.

Hio tp link ninayokuambia ipo kibongo bongo inakidhi vigezo viwili vya juu, sema wifi yake ni 4 (300mbps) sio hizi za kisasa dual band, unaweza nunua ila iwe last resort.

Kama unanunua online search maneno

adsl2+ dual band

Alternative

Adsl2+ 802.11ac

Zitakuja router za kisasa. Mfano kama hii

 
Vigezo ni hivi mkuu
1. Iwe na adsl2+
2. Kwenye zile port za lan kuwe na wan (zipo router zenye lan unaweza configure wan lakini kama huna uelewa make sure ina wan ili kupunguza stress)
2. Iwe na wireless dual band.

Hio tp link ninayokuambia ipo kibongo bongo inakidhi vigezo viwili vya juu, sema wifi yake ni 4 (300mbps) sio hizi za kisasa dual band, unaweza nunua ila iwe last resort.

Kama unanunua online search maneno

adsl2+ dual band

Alternative

Adsl2+ 802.11ac

Zitakuja router za kisasa. Mfano kama hii

asante mkuu, ni matumaini yangu itapiga mzigo pia nikihamia kwenye fiber ya ttcl.

vp kuhusu adsl splitter
 
asante mkuu, ni matumaini yangu itapiga mzigo pia nikihamia kwenye fiber ya ttcl.

vp kuhusu adsl splitter
Switch sio? Hivyo vipo vya kutosha mtaani, hao mafundi pia wanavyo, watakuletea. Nafkiri pia haviingiliani na fiber so nunua tu.

Yap, na hata fiber ya TTCL ikija na router yake unaweza fanya mesh na hio yako ya sasa ili kutengeneza coverage kubwa.
 
Switch sio? Hivyo vipo vya kutosha mtaani, hao mafundi pia wanavyo, watakuletea. Nafkiri pia haviingiliani na fiber so nunua tu.

Yap, na hata fiber ya TTCL ikija na router yake unaweza fanya mesh na hio yako ya sasa ili kutengeneza coverage kubwa.
hapo kwenye mesh inakuwaje, pia hio wan itaniongezea speed au itafikisha wifi mbali au itanisaidiaje mkuu
 
hapo kwenye mesh inakuwaje, pia hio wan itaniongezea speed au itafikisha wifi mbali au itanisaidiaje mkuu
Wan ni port ya kuingiza internet kwa waya na kutoa kama wireless.

Mesh ni kuongeza coverage ya wifi.

Mfano umeweka fiber na imekuja na router yake umeiweka ukumbini, ila vyumbani wifi hupati vizuri, unaweza weka router yako ya adsl kwenye corridor inachukua wifi ya ukumbini inasambaza vyumbani.
 
Wan ni port ya kuingiza internet kwa waya na kutoa kama wireless.

Mesh ni kuongeza coverage ya wifi.

Mfano umeweka fiber na imekuja na router yake umeiweka ukumbini, ila vyumbani wifi hupati vizuri, unaweza weka router yako ya adsl kwenye corridor inachukua wifi ya ukumbini inasambaza vyumbani.
asante kwa ufafanuzi mkuu.

hivi hii adsl inahitaji uwe na simu ya mezani??
 
nilienda ttcl kuwaomba wanifungie internet ya kwenye zile nyaya za simu ili nipunguze gharama za hivi vifurushi ghali, kuna dogo namjua tangu 2020 yeye anatumia hii huduma hajawahi kuwa na habari na hivi vifurushi ambavyo sisi tunalalamika.

fundi aliniambia eneo langu huduma ipo ila vifaa kama router vimeisha inabidi nisubiri mwezi ujao, ila aliniambia nikiweza kupata vifaa atakuja kuniwekea ..

nimepanga niagize router kutoka nje, huwa naagiza mizigo yangu kupitia ali express na ebay na nimeona hivi vifaa, je vitafaa ??

View attachment 2370951


View attachment 2370955
Mbona hapa Bongo unapata tena kwa bei sawa na bure, Ni Tsh 60,000 tu
 
Mimi nataka kufunga wifi home.
Niko serious mnisahuri.
Nataka wiki hii nimeshafunga.
Nataka iwe unlimited yenye speed maana muda mwingi natumia mikutano na wadau video call.
Na iwe ya kulipa kwa mwezi.
 
Niko mafinga, nimefunga hiyo huduma ya ttcl kwakweli iko poa aana. Nalipia 25,000 kwa mwezi na ninapiga mzigo kama kawaida. Nashusha movies mpaka nachoka. Huko mjini youtube naingia mpaka basi. Tatizo ni kwamba eti kwa dar huduma inakuwa ngumu kuwekewa. Tena kuna maeneo hakuna hiyo huduma kabisa. Kama mwezi mwisho kwenda kibamba, yani kwa ufupi morogoro road kuanzia ubungo kwenda mpaka kiluvya hakuna. Sijajua kwa kibaha
 
Niko mafinga, nimefunga hiyo huduma ya ttcl kwakweli iko poa aana. Nalipia 25,000 kwa mwezi na ninapiga mzigo kama kawaida. Nashusha movies mpaka nachoka. Huko mjini youtube naingia mpaka basi. Tatizo ni kwamba eti kwa dar huduma inakuwa ngumu kuwekewa. Tena kuna maeneo hakuna hiyo huduma kabisa. Kama mwezi mwisho kwenda kibamba, yani kwa ufupi morogoro road kuanzia ubungo kwenda mpaka kiluvya hakuna. Sijajua kwa kibaha
Miundombinu ya Adsl ni ya kizamani, mwishoni mwa miaka ya 90 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000, enzi za simu za mezani.

Hivyo kuna miji midogo ya zamani utaikuta, na kuna miji mipya mikubwa hutapata,

Na sehemu nyengine watu wanaiba waya wanauza shaba.
 
Miundombinu ya Adsl ni ya kizamani, mwishoni mwa miaka ya 90 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000, enzi za simu za mezani.

Hivyo kuna miji midogo ya zamani utaikuta, na kuna miji mipya mikubwa hutapata,

Na sehemu nyengine watu wanaiba waya wanauza shaba.

Wangefanya basi utaratibu wa hiyo fiber iwe covered sehemu zote kwa hiyo miji mikubwa. Ni ulofa kwa dar sehemu nyingine fiber isipatikane. Hii miji midogo wanafaidi kuliko town
 
Wangefanya basi utaratibu wa hiyo fiber iwe covered sehemu zote kwa hiyo miji mikubwa. Ni ulofa kwa dar sehemu nyingine fiber isipatikane. Hii miji midogo wanafaidi kuliko town
Miezi kadhaa iliopita wamepitisha maeneo mengi fiber, ni urasimu tu wa shirika.
 
Miezi kadhaa iliopita wamepitisha maeneo mengi fiber, ni urasimu tu wa shirika.
Kaka mimi nimefunga hii ya TTCL ile ya coper tatizo inakata sana. unatumia kidogo taa ya internet inakua nyekundu net inakata. huu ,chezo mara nyingi asubuhi hadi mida ya saa kumi na moja inatulia, tatizo linaweza kuwa nini?
 
Kaka mimi nimefunga hii ya TTCL ile ya coper tatizo inakata sana. unatumia kidogo taa ya internet inakua nyekundu net inakata. huu ,chezo mara nyingi asubuhi hadi mida ya saa kumi na moja inatulia, tatizo linaweza kuwa nini?
Miundombinu ya hapo mtaani kwenu. Kutakuwa na sehemu kupo loose, report tatizo kwao.

Kwangu toka niweke zaidi ya miezi 6 sasa na inakaa hata mwezi haijakata.
 
Miundombinu ya hapo mtaani kwenu. Kutakuwa na sehemu kupo loose, report tatizo kwao.

Kwangu toka niweke zaidi ya miezi 6 sasa na inakaa hata mwezi haijakata.
inawezekana asee. Nimeripoti siku ya tatu leo. Itabidi niwafate ofisin kwao jumatatu.
 
Back
Top Bottom