Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Tusubiri ule mkopo wa China mkataa mmoja ni wa TEHAMA kama hawatabadilisha matumizi kununua Vieti mpya maana za zamani wamezichoka!!Wangefanya basi utaratibu wa hiyo fiber iwe covered sehemu zote kwa hiyo miji mikubwa. Ni ulofa kwa dar sehemu nyingine fiber isipatikane. Hii miji midogo wanafaidi kuliko town