Pre GE2025 Maandalizi ya kurudi CCM? Godbless Lema aomba kuonana na Rais Samia. Mrisho Gambo

Pre GE2025 Maandalizi ya kurudi CCM? Godbless Lema aomba kuonana na Rais Samia. Mrisho Gambo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lema ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.

Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
=================
Mbunge wa Arusha mjini @mrisho_gambo amesema kuwa Godbless lema ambaye ni mwanachama wa CHADEMA amemtafuta na kumuomba Mbunge huyo amuombee nafasi ya kukutana Rais kwani anataka kurudi nyumbani.

Gambo amebainisha hayo wakati wakati wa wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali zamitaa Karatu mkoani Arusha.
 
Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lemma ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.

Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
View attachment 3157090
Keshafika Bei nae?
 
Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lemma ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.

Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
View attachment 3157090
Hongereni mtakuwa mmpata Waziri,mkuu wa mkoa ,RAS au DC

Maana huko CCM hakuna watu wakushika nyadhifa hizi .

Hongereni walau mtu mwenye akili timamu na uwezo atakuwa ametua kwenye ..

CCM imejaa mabunda yanajinasibu Yana Elimu halafu vyeo wanapewa CCM.
 
Huyo Mrisho Mgambo ni kama tahira hivi hata ukimuangalia usoni kafikiri Head gasket ya Subaru imprezza
 
Unavuka mkojo unakanyaga mavi litakuwa kosa la maisha yake yote

Yuko wapi Dr Slaa?
 
Anataka buyu la asali!
Gambo afatwe na Lema kamwe hawezi kutangaza. Anajua lema akienda ccm na yeye ubunge ndio basi. Maana ccm watampa lema agombe na yeye atakuwa hana kazi ya kufanya jambo ambalo Gambo hatamani litokee
 
Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lema ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.

Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
=================
Mbunge wa Arusha mjini @mrisho_gambo amesema kuwa Godbless lema ambaye ni mwanachama wa CHADEMA amemtafuta na kumuomba Mbunge huyo amuombee nafasi ya kukutana Rais kwani anataka kurudi nyumbani.

Gambo amebainisha hayo wakati wakati wa wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali zamitaa Karatu mkoani Arusha.
Gambo mwenyewe hatakiwi na wanaCcm wenzake wa Arusha, halafu ndio awe mtu wa kumfanyia mipango Lema ahamie Ccm? Huyo amekosea hoja za kuwaeleza wapiga kura ameamua kubwabwaja.
 
Lema kafilisi baa ya ndugu take pale mwanza, iliitwa Villa Park, yeye na Lissu na Mbowe walikuwa wakimaliza mikutano wanaenda kufakamia vinywaji na vyakula
 
Back
Top Bottom