Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lema ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.
Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
=================
Mbunge wa Arusha mjini @mrisho_gambo amesema kuwa Godbless lema ambaye ni mwanachama wa CHADEMA amemtafuta na kumuomba Mbunge huyo amuombee nafasi ya kukutana Rais kwani anataka kurudi nyumbani.
Gambo amebainisha hayo wakati wakati wa wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali zamitaa Karatu mkoani Arusha.
kama huna usingizi usiwe unasumbua watu mjanja wa poriniKeshafika Bei nae?
Kama kaamua kurudi nyumbani labda amepima upepo wa siasa za ushindani akaona pale patamfaa.Au anataka kustaafu siasa afanye kazi nyingine.Nyumbani ni Nyumbani
Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lema ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.
Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
=================
Mbunge wa Arusha mjini @mrisho_gambo amesema kuwa Godbless lema ambaye ni mwanachama wa CHADEMA amemtafuta na kumuomba Mbunge huyo amuombee nafasi ya kukutana Rais kwani anataka kurudi nyumbani.
Gambo amebainisha hayo wakati wakati wa wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali zamitaa Karatu mkoani Arusha.
Ingelikuwa hivyo wala asingetangaza!Arusha kumekucha, kuna habari kwamba God bless Lema ameomba kuonana na Rais Samia. Wadau wa mambo wanasema kwamba hii inazua tetesi zaidi kwamba inawezekana ni katika maandalizi ya kujiunga CCM, anataka kujua anatoka vipi.
Rais Samia atakuwa na ziara mkoani Arusha mwezi huu, tutarajie lolote.
=================
Mbunge wa Arusha mjini @mrisho_gambo amesema kuwa Godbless lema ambaye ni mwanachama wa CHADEMA amemtafuta na kumuomba Mbunge huyo amuombee nafasi ya kukutana Rais kwani anataka kurudi nyumbani.
Gambo amebainisha hayo wakati wakati wa wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali zamitaa Karatu mkoani Arusha.