Mr Tyang
nini kitamtokea atakayeanza kutumia dhidi ya taifa jingine.
~ Pili jifunze nini maana ya PRESTIGOUS WEAPONS na kwanini mataifa makubwa wanazo na wengine wanang'ang'ania kuwa nazo na kwanini USA kama kiranja wa amani duniani UNSC's charman anapinga kwa nchi ambazo zinaazimiwa kama hazina proper technology ya kuhandle NUCLEAR ENERGY UTILIZATION.
~ Tatu jua baada ya kuundwa kwa UNO hakukuwa na makubaliano juu ya matumizi ya aina gani ya siraha kwenye vita. UNO ilibase sana katika kuipunguza nguvu Germany na kuijenga Ulaya iliyokuwa imeparaganyika baada ya WWI. Huu ndio ulikuwa UPENYO wa USA kutumia zile ATOMIC BOMBS at Nagasaki na Hiroshima kuizima WWII na dunia kutunga sheria za vita kimataifa na kuivunja UNO na kuzaliwa UN itakayosimamia maswala ya kiulinzi na kijamii duniani kupitia taasisi zake baada ya dunia kushuhudia madhara na majanga yaliyosababishwa na WWII.
~ Nne N.Korea hajawahi kutumia mabomu ya nuclear
Jifunze