Songopwe
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 459
- 526
Tuombe tu kwamba haya yasitokee maana ni hatari kubwa
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia has more nuclear war heads or nuclear bombs to be precise, than any country in the world. Muwage mnafuatilia mambo sio kusubiri matukio ndo mvae taaluma ya uchambuzi.Akirusha mbili atarudishiwa 1000 hata kabla zake hazijatua na anajua hilo
Ilibidi niyaseme haya yote maana alimcrush mshkaji, kumbe yeye ndiye hana uelewa wa haya mambo yalivyokuwa, yalivyo na kwanini yanatokea hivi haha.Asipokuelewa na hapa mchape kibao.
Na huu ndio ukweli !Mbaya anayo mengi kuliko nato nzima wakiyaweka pamoja
Anamalizaje?; wenzake pia wanajiandaa kwa lolote.Amalize hii operesheni sasa.
Kwa hali halisi, ushindi katika vita hauongozwi na uwingi wa silaha, kama ingekuwa hivi, basi vita ya Rusia na Ukraine ingekuwa imeshaissha. Tusiombee vita.Mbaya anayo mengi kuliko nato nzima wakiyaweka pamoja
Ana mikwara ya mbwa koko anayebwekea ndani ya geti.Hana jeuri kwa sasa....
Kabisa....Ana mikwara ya mbwa koko anayebwekea ndani ya geti.
Soma vizuri makomobora YARS yana uwezo gani kijeshi Duniani ie barani Ulaya na Amerika kwenyewe - achaneni na propaganda za kitoto za CNN na VoA - Kwani leo Generali WA Ukraine mwenye uzoefu mkubwa wa kijeshi kaonya nini kuhusu uwezo wa jeshi la Urusi - Kama nakumbuka vizuri mwezi mmoja uliyopita a brainy scientist and a very respected industrialist WA American gave almost the same advise/warming to Europeans leaders and US leaders and NATO Generals that they should never ever underrated Russian Military capabilities - Russia she's ways and lightening fast delivery systems of annihilating both continents at a go and no one will be alive to tell the tale the morning after, or even have enough time to say their last players, sasa kama mnafikiri jamaa hao wawili wenye hekima na busara hawana akili, basi kaeni Mkiamini Mungu wenu wa Dunia kwamba ndie Alpha na Omega!!Akirusha mbili atarudishiwa 1000 hata kabla zake hazijatua na anajua hilo
Wakati huo zile Vanguard Submarines za UK zikiwa zimebeba Trident ICBM zinakua zimesinzia au?!Maana yake Mrusi mabomu yake matatu yakifanikiwa kutua UK basi hakutakuwa na nchi inaitwa UK.Wakati mabomu 20 ya UK yakifanikiwa kutua Urusi, bado taifa la Urusi litakuwepo.sasa hapo umeona umuhimu wa kuwa na eneo kubwa
Uweda wazimu upi unao uzumgumzia hapa-wakati watu wenye akili timamu Dunia nzima wanatambua kwamba Putin ni mega smart upstairs alishasema mara nyingi tu kwamba akiona Taifa lake linatishiwa kweli kweli na NATO/US atazichukulia hatua Kali - wanaotaka kumbeza beza go ahead and do it, lakini watu wenye akili nyingi na busara kama Elone Musk na Generali wa sasa wa Ukraine wametoa onyo gani kuhusu uwezo wa jeshi la Urusi.Hivi kuna mtu anayeamini putin atatumia nuclear? Putin hawezi kuwa mwendawazimu kiasi hiko.
Kuwa na akili nyingi haimaanishi kwamba mtu anaiba mke wako, ety mkae meza moja msuruishe. Apo lazima uingie mpambano potelea mbali hata Kama utashindaUweda wazimu upi unao uzumgumzia hapa-wakati watu wenye akili timamu Dunia nzima wanatambua kwamba Putin ni mega smart upstairs alishasema mara nyingi tu kwamba akiona Taifa lake linatishiwa kweli kweli na NATO/US atazichukulia hatua Kali - wanaotaka kumbeza beza go ahead and do it, lakini watu wenye akili nyingi na busara kama Elone Musk na Generali wa sasa wa Ukraine wametoa onyo gani kuhusu uwezo wa jeshi la Urusi.
Nyie bakini na imani zenu potofu kwamba jeshi la Urusi limekimbia huko Kiev na Kherson hivyo hawana lolote kivita!!!
Mtu ambae hamuogopi na anammaindi Russia ni United kingdom, yule ndio aliwapa ujasiri wazungu kupeleka misaada UkraineMuda mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kujikuta mjuaji kwa kitu usicho na uelewa nacho.
Hoja yako ya "nchi inayomiliki nuclear haiwezi kuzitumia" ni dhaifu sana. Zile nukes za USA zilizo tua Hiroshima na Nagasaki zilikuwa mabomu ya machozi siyo?
Hoja yako ya pili kuwa nchi ikiipiga nuclear nchi nyingine nayo itapigwa nukes na mataifa mengine. Are you serious?
Yani unategemea USA au nchi yeyote ya ulaya inayomiliki nukes irushe nukes Urus kisa Urusi kairushia Ukraine?
Daah! Kama mambo ndo yangekuwa rahisi hivo basi Marekani angekuwa ashamfyekelea mbali Korea kaskazini.
Kwani kherson na kiev walikimbia? Si mlisema ni mbinu za kimkakati?Uweda wazimu upi unao uzumgumzia hapa-wakati watu wenye akili timamu Dunia nzima wanatambua kwamba Putin ni mega smart upstairs alishasema mara nyingi tu kwamba akiona Taifa lake linatishiwa kweli kweli na NATO/US atazichukulia hatua Kali - wanaotaka kumbeza beza go ahead and do it, lakini watu wenye akili nyingi na busara kama Elone Musk na Generali wa sasa wa Ukraine wametoa onyo gani kuhusu uwezo wa jeshi la Urusi.
Nyie bakini na imani zenu potofu kwamba jeshi la Urusi limekimbia huko Kiev na Kherson hivyo hawana lolote kivita!!!