Maandalizi ya msiba

Uzi uanzishe mwenyewe, halafu watu wanaweka mitazamo yao unaanza kuwafurumishia matusi ya nguoni...
Sio matusi ni maneno simpo unaelewa hilo! au na wewe ni mwoga wa kifo?
 
Sio matusi ni maneno simpo unaelewa hilo! au na wewe ni mwoga wa kifo?

Ningekuwa muoga wa kifo, usiongeona comment yangu kwa uzi wako...

Kifo ni mwisho wa kila mwili wenye pumzi, ni hatma itarajiwayo kwa kila mwenye nafsi hai...
 
Ningekuwa muoga wa kifo, usiongeona comment yangu kwa uzi wako...

Kifo ni mwisho wa kila mwili wenye pumzi, ni hatma itarajiwayo kwa kila mwenye nafsi hai...
Nakulelewa lakini kwetu wakristo kifo ni ushindi.
 
Kesho akusokotee kitu ikiwa na kiwango ya leo ina ubora hafifu man
Ushimen
johnthebaptist
Mnasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…