Kufa utakufa tu ππMimi ni genius.
Sio matusi ni maneno simpo unaelewa hilo! au na wewe ni mwoga wa kifo?
Kesho akusokotee kitu ikiwa na kiwango ya leo ina ubora hafifu manOya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?
Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.
Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
OK; Mwanaume anakuwaje mkuu?Wewe ni tahira wa wapi wewe,mbona umelegea hivyo,wewe ni mwanaume kweli?
Utakufa tuPeleka ujinga wako huko,mimi niko fit for tati
Wanamvutisha mbichi tatizo...
Mama hii kolabo yetu itamuuaπWanamvutisha mbichi tatizo...
Mikuki imezidi mqacheni wakuuπWe mtoa uzi wewe, Bangi sio msosi
ππMpuuziMama hii kolabo yetu itamuuaπ
Glenn wangu tapeliiππNimekumisimo ujue
Wewe ni wa kufwa na kuzikanaaππππππGlenn wangu tapeliiππ
Ni heshima Sana kuzikwa naweππππ€£π€£π€£Wewe ni wa kufwa na kuzikanaaππππππ
Nimecheka kwa sautiππππNi heshima Sana kuzikwa naweππππ€£π€£π€£
Shika adabu yako wewe,unanijua au unanisikia?