Maandamano Kenya sasa mara 2 kwa wiki

Maandamano Kenya sasa mara 2 kwa wiki

Kila siku nakuasa uachane na waliokufa! Hivi Unadhani huwezi jenga hoja ikaeleweka bila kutaja JPM! Jaribu angalau mara moja uone.
Hakuna huyu ni muuaji atasemwa mapaka basi. Arudi asema Ben Saanane yuko wapi, Azory Gwanda yuko , sandarusi za maiti coco beach zilikuwa za akina nani and many many others who disappeared mysreriously!
Hitlter alisema hatujazaliwa, akasema tumezaliwa na atasema tukiwa tumekufa kwa vizazi vijavyo. Magufuli hivyo hivyo atasemwa mpaka mwisho wa dunia! Maana aliua watu wasio na hatia. kama ulikuwa mnufaika wa mauaji, subiri hukumu yako kwa mungu wa Mbinguni!

Wamekufa lkn wameacha maumivu makili kwa watu. Tunawataka warudi watuoneshe ndugu zetu wako wapi
 
CHADEMA wanapaswa kutafakari nafasi yao kwenye ujenzi wa demokrasia nchini. Kuanza kubeba agenda za chama tawala ambacho kimeshafeli.

Waridhiane bila kupoteza aim ya agenda zao chanya kwa wananchi.

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Haina shaka Kamanda Lissu na makamanda wengine watukuka, watakuwa wanaugulia maumivu makali kokote kule waliko.

Ni makosa ya kiufundi kuchezeshwa ngoma ya hasimu wako.
 
Kenya huo ni Muziki mwingine. Tuone aibu kuwashauri hao. Kwetu Iko wapi katiba mpya kama kipaumbele?

Sana sana:

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

#8 hiyo inawahusu zaidi aliowaangazia Dkt. Mollel:

View attachment 2561188
Kwa hiyo unaamini Ruto ataachia ngazi kwa sababu watu wa Raila wanaambana mara mbili kwa wiki?
Kuna tofauti kubwa kati ya kudai Katiba Mpya na kushinikiza mabadiliko ya serikali.

Amandla...
 
Kwa hiyo unaamini Ruto ataachia ngazi kwa sababu watu wa Raila wanaambana mara mbili kwa wiki?
Kuna tofauti kubwa kati ya kudai Katiba Mpya na kushinikiza mabadiliko ya serikali.

Amandla...

Wenye nchi wananchi. Wanachotaka wananchi watapata.

Miye na wewe tuna yetu. Tukitaka katiba mpya tutaipata.

Wakenya wana yao wakiyataka watayapata tena kwa wakati wanaotaka wao:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Ni ngumu kuyaona hayo Kamanda?

Ninakazia:

"Bora ufe kimwili kuliko kupoteza muelekeo."
 
Wakenya mara ya mwisho kuandamana ni faida gani walipata zaidi ya kuzika ndugu zao .?

ndo results za maandamano, lazima kuwe na madhara lakini baada ya madhara huja faraja’

Amani haiji kwa Upanga.

Acheni wakenya wajipambanie, nyie mijinga ya DANGANYIKA KANTRI MUHAMIE BURUNDI
 
Huyu Jamaa' Ni M bishi Sana Ila Aangalie vizuri Hakuna mtu smart Tena smartest Hapa Kenya kama Ruto:
Rais Ruto Ni wa kuogopwa Kama una Akili nzuri this man is more than Genius chezea uhuru sio Ruto wewe!

acha kuongea kwa mihemuko wewe, yani watu wengine aisee.
“eti ruto ni mtu smart” Hata awe smart vipi atashindana na nguvu ya umma.

Unadhani hiyo ni Tanzania?
 
Mkuu wakenya wanayajua matatizo yao na suluhu zao vyema zaidi kuliko mtu yeyote aliye hai duniani.

8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

Kudhania watu wote hawa ni wajinga ila sisi?

View attachment 2561200

Huko itakuwa ni kujilisha upepo bure ndugu.
Mkuu hao wafuasi ni ukabila tu unawatafuna. Wale wa Western wanamuona kama nabii wao na hicho anachofanya wanaona kama anawapigania wao kumbe mwenzao akilambishwa asali anapoa.
 
Mkuu hao wafuasi ni ukabila tu unawatafuna. Wale wa Western wanamuona kama nabii wao na hicho anachofanya wanaona kama anawapigania wao kumbe mwenzao akilambishwa asali anapoa.

Hii ni Kenya nzima mkuu:

Frml9PgWwAIYbR1.jpeg


Kwani umemsikia Ruto Gachagua au genge lao wanasema je?
 
Wenye nchi wananchi. Wanachotaka wananchi watapata.

Miye na wewe tuna yetu. Tukitaka katiba mpya tutaipata.

Wakenya wana yao wakiyataka watayapata tena kwa wakati wanaotaka wao:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Ni ngumu kuyaona hayo Kamanda?

Ninakazia:

"Bora ufe kimwili kuliko kupoteza muelekeo."
Unadhani tutabaki salama Kenya kukichafuka? Hii sio Isindingo. Wakianza kuchinjana tutahusika tu hata kama ni kupokea wakimbizi tu. Raila anawasha sigara Shell. Waliishawahi kuchinjana na haitakuwa vigumu kurudia tena.

Amandla...
 
State ipi? Mind you Uhuru is supporting Odinga so it's not like he's alone, ana back up ya richest man in Kenya. Kingine Odinga akiuwawa ndio itakua mwisho wa nchi kutawalika.

The only option is either handshake au ajiuzulu otherwise itakua nchi ya maandamano na migomo, baadae utasikia Al Shabaab wamevamia airport n.k

Ruto is not smart, otherwise he would've seen this coming.
Nani kasema Kiongozi mkubwa wa Siasa afanyiwe mbaya noo' hiyo business zake tu unabinya kwenye Kodi Hadi anaomba poo!
 
ndo results za maandamano, lazima kuwe na madhara lakini baada ya madhara huja faraja’

Amani haiji kwa Upanga.

Acheni wakenya wajipambanie, nyie mijinga ya DANGANYIKA KANTRI MUHAMIE BURUNDI
Faraja gani ilipatikana maandamano ya kwanza .?
 
Huyu mzee amekwisha kula chumvi nyingi, Kwanini anawaponza vijana kipuuzi namna hii, huyu mzee hana hekima kabisa, ruto ampe kanafasi akae mpaka atakapomaliza muda wake huyu anataka kufa na wengi huyu si bure
huyu mzee kila akishindwa uchaguzi ni maandamano, yani yeye haamini kama huwa anashindwa.......,
this time around serikali ilikua nyuma yake lakn akapigwa, bado anadai aliibiwa, such a selfish dude
 
Back
Top Bottom