Maandamano Kenya sasa mara 2 kwa wiki

Maandamano Kenya sasa mara 2 kwa wiki

Huyu mzee amekwisha kula chumvi nyingi, Kwanini anawaponza vijana kipuuzi namna hii, huyu mzee hana hekima kabisa, ruto ampe kanafasi akae mpaka atakapomaliza muda wake huyu anataka kufa na wengi huyu si bure
We ni muoga tu kama wengine, yaani kama siyo Raila kenya inayosifika kwa kuwa na katiba nzuri yenye uwazi na mambo mengine mengi wasingekaa waweze kufanya lolote kwa njia ya maandamano, Raila sio Kiongozi almradi tu aongoze chama, Kenya ya leo huwezi kuzungumzia jambo lolote linalohusu taifa bila kumuhusisha kumuhusisha BABA(RAILA AMOLO ODINGA)
 
Katiba waliyopata iliwapa nini mbona bado wanakimbia kimbia barabarani .

Wenye nchi wananchi. Ukiona wanakimbia kimbia barabarani ujue kuna wahuni wanataka kujimilikisha nchi. Katiba hii ndiyo inayowapa uwezo sasa wa kuwakoromea wahuni hao ambao vinginevyo bila aibu wangewaambia wahamie Burundi.

Walipo sasa wahuni wanapumulia mashine.

Habari ndiyo hiyo.
 
Wenye nchi wananchi. Ukiona wanakimbia kimbia barabarani ujue kuna wahuni wanataka kujimilikisha nchi. Katiba hii ndiyo inayowapa uwezo sasa wa kuwakoromea wahuni hao ambao vinginevyo bila aibu wangewaambia wahamie Burundi.

Walipo sasa wahuni wanapumulia mashine.

Habari ndiyo hiyo.
Habari gani .?
Wenye nchi jumatatu watakuwa wanakunywa chai kwa mrija, maskini wako barabarani wanarushiana risasi na mawe wenyewe kwa wenyewe. siku wakichoka wanaanza kuzikana na maisha yanarudi square 0. Ndicho kilichotokea kipindi kile na kinachoenda kutokea sasa hivi.

Huyo Odinga hiyo katiba aliyopambania imeenda kuwapa nini wakenya .? zaidi ya kumpa faida yeye na kundi lake huko wafuasi wake wakizidi kujichokea kimaisha .?

Binadamu ni lini tutambua jukumu letu hapa duniani .?
 
Habari gani .?
Wenye nchi jumatatu watakuwa wanakunywa chai kwa mrija, maskini wako barabarani wanarushiana risasi na mawe wenyewe kwa wenyewe. siku wakichoka wanaanza kuzikana na maisha yanarudi square 0. Ndicho kilichotokea kipindi kile na kinachoenda kutokea sasa hivi.

Huyo Odinga hiyo katiba aliyopambania imeenda kuwapa nini wakenya .? zaidi ya kumpa faida yeye na kundi lake huko wafuasi wake wakizidi kujichokea kimaisha .?

Binadamu ni lini tutambua jukumu letu hapa duniani .?
Mkuu hawa hapa ni wakenya na ni watu wazima. Wengine bila ya shaka educated kuliko wewe na miye:

Screenshot_20230321-071500.jpg


Kama ungekuwa shetani, Jini, Mungu au malaika ungekuwa na uhalali kuyasema uliyosema.

Sasa ndugu yangu wewe makongorosi huko hujihurumii ndugu?

Kesho watakuwapo vigogo wote wa Azimio la umoja, wafuasi wao na hata wengi wengine.

Kuumia, kukamatwa au kufa si ndiyo gharama waliyolipa kina kinjekite, Milambo, Isike, Mkwawa, Mawazo, Lijenje, Steve Biko, Solomon Mahlangu, Malcolm x, Martin Luther na wa namna hiyo wakiwamo wale wa vita vya kagera?

Kufa kupigania haki hiyo ni ibada. Heri kufa unapigania haki kuliko kufa kwa malaria, ebola au corona.

Kwamba Ruto na genge lake watakuwa wanakunywa chai? Kwani umewasikia wanasemaje?

Mlijaribu kuwapa ushauri wa siri ya mafanikio yenu. Sasa hivi Yuko isolated anaimba zaburi 23:1 ,-- bwana ndiye mchungaji wake.

Hiiiiiiii!
 
Katiba waliyopata iliwapa nini mbona bado wanakimbia kimbia barabarani .
Kuwa barabani ndiko kusimamia katiba. Katiba ikipotoshwa silaha pekee aliyo nayo mwananchi ndiyo hii. Katiba inakiukwa ulitaka wahamie mnakohamiaga nyie, Burundi?
 
Kuwa barabani ndiko kusimamiw katiba. Katiba ikipotoshwa silaha pekee aliyo nayo mwananchi ndiyo hii. Katiba inakiukwa ulitaka wahamie mnakohamiaga nyie, Burundi?
Ukienda barabarani faida gani unapata .?
Mwanasiasa yupi duniani ulishawahi ona anafuata katiba .?
 
Ukienda barabarani faida gani unapata .?
Mwanasiasa yupi duniani ulishawahi ona anafuata katiba .?
Waulize walamba asali na wahuni watakwambia. Vijana wa hovyo wako busy na ngono hawatakuwa na majibu. Kama wewe ni mmoja wa magrupu hayo kaa kwa kutulia wewe ni wa kuona si kuambiwa peke yake. Unaonekana kuwa na masikio ya kenge.
 
Mkuu hawa hapa ni wakenya na ni watu wazima. Wengine bila ya shaka educated kuliko wewe na miye:

View attachment 2566810

Kama ungekuwa shetani, Jini, Mungu au malaika ungekuwa na uhalali kuyasema uliyosema.

Sasa ndugu yangu wewe makongorosi huko hujihurumii ndugu?

Kesho watakuwapo vigogo wote wa Azimio la umoja, wafuasi wao na hata wengi wengine.

Kuumia, kukamatwa au kufa si ndiyo gharama waliyolipa kina kinjekite, Milambo, Isike, Mkwawa, Mawazo, Lijenje, Steve Biko, Solomon Mahlangu, Malcolm x, Martin Luther na wa namna hiyo wakiwamo wale wa vita vya kagera?

Kufa kupigania haki hiyo ni ibada. Heri kufa unapigania haki kuliko kufa kwa malaria, ebola au corona.

Kwamba Ruto na genge lake watakuwa wanakunywa chai? Kwani umewasikia wanasemaje?

Mlijaribu kuwapa ushauri wa siri ya mafanikio yenu. Sasa hivi Yuko isolated anaimba zaburi 23:1 ,-- bwana ndiye mchungaji wake.

Hiiiiiiii!

Vigogo kuwepo ndio itasaidia nini .? Risasi ikipigiwa sio kigogo wala kapuku, wote wanaingia mitini
Nani alisema kufa kupigania haki ni Ibada .? Jipaganie wewe na familia yako ndivyo neno linasema

Unajua leo tu kenya imepoteza kiasi kiuchumu .? Unafikiri ni nani anayeenda kuumia hapo.? Raila au Wafuasi wake .?
Akili za kuambiwa changanya na zako.

Ruto ni Raisi wa kenya hilo haliwezi kubadilika na huu mwaka hakuna nusu mkate, watu ambao hata 1% ya wananchi hawafiki hawawezi ondoa serikali madarani .Watakimbia barabarani wakichoka watarudi nyumbani kuijenga tena nchi
 
Bwana Ruto kayakanyaga ,ni Bora aunde serikali ya maridhiano
 
Vigogo kuwepo ndio itasaidia nini .? Risasi ikipigiwa sio kigogo wala kapuku, wote wanaingia mitini
Nani alisema kufa kupigania haki ni Ibada .? Jipaganie wewe na familia yako ndivyo neno linasema

Unajua leo tu kenya imepoteza kiasi kiuchumu .? Unafikiri ni nani anayeenda kuumia hapo.? Raila au Wafuasi wake .?
Akili za kuambiwa changanya na zako.

Ruto ni Raisi wa kenya hilo haliwezi kubadilika na huu mwaka hakuna nusu mkate, watu ambao hata 1% ya wananchi hawafiki hawawezi ondoa serikali madarani .Watakimbia barabarani wakichoka watarudi nyumbani kuijenga tena nchi

Kina Biko, Mahlangu, Mkwawa, Kinjekite, Milambo, Isike, Sina nk hawakuogopa risasi. Bila shaka ni kwa sababu hizo wengine tunawakumbuka Leo miaka 100 + on.

Zingatia ni heri kufa ikipaganiwa haki kuliko kufa kwa malaria, TB, ukimwi, corona au ebola.
 
Wakenya nitawaoa wote mtakaokuja kama wakimbizi Tanzania.
 
Back
Top Bottom