Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 07 October walifuata nnWanaunga mkono wauaji wa watoto
Walienda kudai ardhi yao waliyoporwaTarehe 07 October walifuata nn
Mkuu.Maandamano makubwa hayajawahi kutokea London raia wakiiunga mkono Palestina na Waziri wa Mambo ya ndani kafukuzwa kazi…
Sasa wapigane sio kulia lia.Walienda kudai ardhi yao waliyoporwa
Mungu wa Africa hayupo? Au hatuna hadhi ya kumiliki Mungu wetu?Hata mseme vipi,,huwezi kuwatenganisha watu wanaomuabudu Yehova mungu wa wayahudi
HAWA NI WAARABU WALIOZAMIA ULAYA NAMAANISHA WAKAZI HALALI NA WAHAMIHAJI HARAMU ASLIMIA 97% .Maandamano makubwa hayajawahi kutokea London raia wakiiunga mkono Palestina na Waziri wa Mambo ya ndani kafukuzwa kazi…
Afrika kuna wabantu na makabila yao na wana miungu yao.Mungu wa Africa hayupo? Au hatuna hadhi ya kumiliki Mungu wetu?
Acha utani mkuu.Huko German waarabu waliambiwa wakiandamana tu watanyapokwa uraia
Hamas ulishawahi kuona wakilia lia? Kinachokera ni mauaji wa watoto yanayofanywa na IsraelSasa wapigane sio kulia lia.
Ukienda kupigana na adui basi pigana mpaka mwisho na sio unalilia cease fire!
NB: AKILI ZA WAISLAMU NA WAARABU KUPITIA QURAN NI KWAMBA WAYAHUDI PALE SIO MAHALA PAO PA ASILI.
QUR'AN 9:30
QUR'AN 8:12
Yupo...mfano wanyambo na wanyoro na wanyankore na watoro na waganda na wahaya na wanyarwanda na wahangaza.Mungu wa Africa hayupo? Au hatuna hadhi ya kumiliki Mungu wetu?
Mkuu hizi picha ni za propaganda za wapiga picha wa hamas ili waonewe huruma na duniaHamas ulishawahi kuona wakilia lia? Kinachokera ni mauaji wa watoto yanayofanywa na Israel
Propaganda za kuhalalisha mauaji ya watoto, kujificha kwenye mahandaki ni moja ya mbinu za kijeshi, hta tulipopigana na uganga wanajeshi walichimba mahandakiMkuu hizi picha ni za propaganda za wapiga picha wa hamas ili waonewe huruma na dunia
View attachment 2812733
.
Kwanza wamevua mavazi ya kijeshi afu wanaenda kujificha ndani ya raia, i mean wanawake na watoto na wazee.,,hii technical ya kitoto kweli.
Au kujificha hospitalini
Siku ingine usije kurudia kuniandikia uharo hizo asilimia zako waleleze mapunguani wenzako mimi nimeona maandaamo haya siyo ya kwanza hapo UK, waliokamatwa ni wazungu wafuasi wa Tommy Robinson, ambao walikuwa wampiga Suella Braverman,Mkuu.
Wale ni waislamu na waarabu wahamiaji na waarabu raia wa uingereza kwa asilimia 97% na iliyobaki ndio jamii nyingine.
Na jana walifanya vurugu pia hao waarabu mpaka wamekamatwa waarabu 126 walitaka kupigana na polisi jana.
Waafrika wachache sana waliandamana london kuwaunga mkono waarabu
NB : SASA UNALINGANISHA NA HAWA WAKRSTO NA WAZUNGU WA PARIS 97% WALIOANDAMANA KWA WINGI AU UNA IDADI KAMILI YA WATU.
NB: ISSUE YA WAZIRI EBU FAFANUA VIZURI MAALIM
BAS UKIJIFICHA KWENYE HANDAKI CHINI YA HOSPITAL TUNAPIGA HUMO.Propaganda za kuhalalisha mauaji ya watoto, kujificha kwenye mahandaki ni moja ya mbinu za kijeshi, hta tulipopigana na uganga wanajeshi walichimba mahandaki
Propoganda za kishoga kabisa hizo mashoga ndiyo watakuamini.Mkuu hizi picha ni za propaganda za wapiga picha wa hamas ili waonewe huruma na dunia
View attachment 2812733
.
Kwanza wamevua mavazi ya kijeshi afu wanaenda kujificha ndani ya raia, i mean wanawake na watoto na wazee.,,hii technical ya kitoto kweli.
Au kujificha hospitalini
Mkuu mbona unapaniki na kutoa matusi??Siku ingine usije kurudia kuniandikia uharo hizo asilimia zako waleleze mapunguani wenzako mimi nimeona maandaamo haya siyo ya kwanza hapo UK, waliokamatwa ni wazungu wafuasi wa Tommy Robinson, ambao walikuwa wampiga Suella Braverman,
While fellow ministers made no secret of their desire for police to step in to prevent a pro-Palestine demonstration in London on Armistice Day, her branding of them all as 'hate marchers' was criticised from within Tory ranks even before she questioned the police's motives.
Hawa Waislam?
Kweli kabisa mkuu mashoga ndio wataniaminiPropoganda za kishoga kabisa hizo mashoga ndiyo watakuamini.
Kitu usichofahamu Hamas ni shadow militant, unaweza kuwatafuta Gaza yote ukawakosa, ile ni itikadi, iko kwenye mioyo ya wapalestina, itikadi ya kutetea ardhi yao, na haitaisha milele mpaka Taifa la wapalestina litakapopatikana, Marekani walipambana na Taleban Afghanistan miaka zaidi ya 20 wakawashindwa, wakanyoosha mikono juu na kuwaachia nchi yaoBAS UKIJIFICHA KWENYE HANDAKI CHINI YA HOSPITAL TUNAPIGA HUMO.
UKIJIFICHA KWENYE AMBULANCE TUNAPIGA HUMO.UKIJIFICHA MSIKITINI TUNAPIGA HUMO.
UKIJIFICHA KANISANI TUNAPIGA HUMO.
UKIJIFICHA NYUMA YA RAIA TUNAPIGA HUMO.
UKIJIFICHA NYUMA YA WATOTO NA WANAWAKE TUNAPIGA HUMO.
NB: UMEWASIKIA HAO WAFUASI WA HAMAS WANACHOSEMA KWENYE HIYO CLIP MKUU
Wanaondamana london na santiago na cape town na washngton DC na paris asilimia 97% ni waarabu waislamu wanaokaa huko.Siku ingine usije kurudia kuniandikia uharo hizo asilimia zako waleleze mapunguani wenzako mimi nimeona maandaamo haya siyo ya kwanza hapo UK, waliokamatwa ni wazungu wafuasi wa Tommy Robinson, ambao walikuwa wampiga Suella Braverman,
While fellow ministers made no secret of their desire for police to step in to prevent a pro-Palestine demonstration in London on Armistice Day, her branding of them all as 'hate marchers' was criticised from within Tory ranks even before she questioned the police's motives.
Hawa Waislam?