GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
hee jamaa hawataki tena "demokrasia na uhuru?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unayasema haya ukiwa na nia ya dhati au unawakejeli?Yote haya aliyataka yule gaidi Gaddafi..give people freedom..if they think they are free hawawezi kukusumbua.
Ona sasa aliamini kuwapa umeme na maji bure ndio kuwaridhisha..huku akuwagandamiza wenye mlengo tofauti nayeye na kuminya uhuru wa kutoa maoni na kuchagua na kuguliwa viongozi wawatakao.
Yaliyotokea libya gaddafi ndiye chanzo.
#MaendeleoHayanaChama
si ndo wamepewa uhuru sasa tokea mwaka 2011. Hawautaki tena uhuru mara hii?Yote haya aliyataka yule gaidi Gaddafi..give people freedom..if they think they are free hawawezi kukusumbua.
Ona sasa aliamini kuwapa umeme na maji bure ndio kuwaridhisha..huku akuwagandamiza wenye mlengo tofauti nayeye na kuminya uhuru wa kutoa maoni na kuchagua na kuguliwa viongozi wawatakao.
Yaliyotokea libya gaddafi ndiye chanzo.
#MaendeleoHayanaChama