Maandamano sio ya CHADEMA ni ya wananchi. Tusimsubiri Mbowe wala Tundu Lissu

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Vichwa vya watanzania bado vinabidi viitiwe mkoloni maana bado akili zimelala. Eti wanamsubiri mbowe na lissu kwenye maandamano, kwahiyo wakikamatwa au wasipokuja ndohatuandamani au?

Haya maandamano inabidi yaratibiwe na sisi watanzania hata kama wanasiasa yoyote yule asipokuja sisi tusonge mbele

Siku zote mapinduzi yanafanywa na watu wa kawaida sana yamkini wasiwe wanasiasa wala na vyeo vyovyote vile

Mbowe alisema hata nikikamatwa nyie songeni mbele, Ajabu Akina John pambalu, mdude na twaha mwaipaya wapo mitandaoni mpaka mda huu kuripoti habar za lissu na mbowe ilihali hiyo ni kazi ya jamiiforum na mwananchi digital, Hawataki kutoka ndani waje tuungane 🤣🤣🤣🤣
 
Well said Mpwayungu Village
 

CHADEMA waô Wanaona kama serikali imezoea kuwadanganya.

Mfano, nini serikali imefanya Kwa tukio la Lisu kupigwa Risasi?

Ahsante Sana
 
Route zimetanganzwa mkuu ,fuatisha route Mbowe na Lissu tutakutana nao barabarani ,hao watu wanawindwa 24/7.
 
Alisikika mlevi mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…