Maandamano sio ya CHADEMA ni ya wananchi. Tusimsubiri Mbowe wala Tundu Lissu

Upo wapi tukufwate kukusupport ..?
 
 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 2
Mpaka saivi Maandamo yamedoda [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hila CHADEMA waoga sana
 
Hakuna Mwananchi mjinga hapa Tanzania wa kuandamana sababu ya Mbowe na Lisu 😂😂

View: https://www.instagram.com/p/DAQBOXeq3MX/?igsh=MWJsenUxdHhnMXFqNg==
 
Tangulia kuandamana tukuone, au unaandamana kutokea katika keyboard ya simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…