Kenya 2022 Maandamano ya "Bila chakula hatupigi kura" Kenya!

Kenya 2022 Maandamano ya "Bila chakula hatupigi kura" Kenya!

Kenya 2022 General Election
"..waache wajiweke lockdown sisi tunenda shambani kulima, njaa itawatoa huko walipojifungia...." JPM (RIP)

Hakika unabii wake umetima na kamwe hakuna neno lake litakalopita bila kutimia! Wakenya wameanza kuonja machungu ya uviko baada ya bei unga kuzidi kupaa ambapo majuzi walitishia kususia uchaguzi mkuu ujao hadi bei ya unga ipunguzwe!

View attachment 2284488

Si mkalime nani awalimie na kuwapa bure nyie huku mumelundikana mjini?
 
"..waache wajiweke lockdown sisi tunenda shambani kulima, njaa itawatoa huko walipojifungia...." JPM (RIP)

Hakika unabii wake umetima na kamwe hakuna neno lake litakalopita bila kutimia! Wakenya wameanza kuonja machungu ya uviko baada ya bei unga kuzidi kupaa ambapo majuzi walitishia kususia uchaguzi mkuu ujao hadi bei ya unga ipunguzwe!

View attachment 2284488

MK254 pita huku..
 
Back
Top Bottom