Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.